Kufirana kumekuwepo Tanganyika na Zanzibar miaka mingi, watu wamefanya hivyo wakiwa maporini, na sehemu mbalimbali ila kwa kujificha sana. Wako wengi, hata nje ya Tanzania mfano Mfalme Shaka Zulu alikuwa anajisitiri na wanaume wenzake. HAYA MAMBO MWACHIENI MUNGU TU AHUKUMU.Unaweza nambia shoga Kwa kilugha chenu anaitwaje??
Kama hujui nafikiri utajua kuwa kabla ya Mzungu kuja hapakuwa na ushoga hapa Afrika.
Yesu alifuata sheria za Asili,
Yesu kusema hivyo hayo ni maoni yake hatabadilishi hata kifungu kimoja cha sheria za Asili.
Lazima ujue kutofautisha sheria na Mafunzo, na maoni
Mimi nadhani muhimu kulinda watoto na wanawake wanabakwa au kuingiliwa kinyume na maumbile bila ridhaa yao.
Ila kukaa kukaza shingo, unalingana na kitu amnacho hakina athari kwenye maisha yako ni kupoteza energy bure.
Jitu zima na akili zake timami limeamua kupelekewa moto.
Halifanyii kitandani kwako, chumbani kwako wala halikuombi pesa.
Unaumia nini wewe ???
Subiri mapovu ya mashoga na wasagaji
Hivi unajua yaliyotokea Sodoma na Ghomora??Hakuna anayeumia tunachojua ni kuwa ukishindwa kuzuia moja ya jirani yako huwezi zuia 10 itakayotokea kwako.
Suala hili ni mpaka uwe na akili ya kuona miaka 100 ijayo ndio utaelewa lakini hivi hivi huwezi.
Ni Kama suala la Haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume
Kufirana kumekuwepo Tanganyika na Zanzibar miaka mingi, watu wamefanya hivyo wakiwa maporini, na sehemu mbalimbali ila kwa kujificha sana. Wako wengi, hata nje ya Tanzania mfano Mfalme Shaka Zulu alikuwa anajisitiri na wanaume wenzake. HAYA MAMBO MWACHIENI MUNGU TU AHUKUMU.
NINAVYOMJUA YESU KRISTO, USIJE KUSHANGAA SIKU YA HUKUMU UKAONA ALIYEKUWA SHOGA HAPA DUNIANI ANAENDA PEPONI. INATEGEMEA HUYO SHOGA AMEKUWA NA IMANI GANI NA MUNGU WAKE.
Yaonekana uwezo wako ni mdogo sana. Eti "maoni yake". Hujui kuwa Yesu Kristo ndiye atakayeuhukumu ulimwengu?
Hivi unajua yaliyotokea Sodoma na Ghomora??
Unazungumzia miaka mia ijayo ?
Wakati yaliyopo sasa hivi hayajafika hata robo ya yaliyokuwepo miaka 2,000 iliyopita.
Kuna jipya gani ???
Huo utafiti umeufanyia kwenye ndoa zipi, mbona mi simwingilii Mke wangu nyuma ya kimaumbile?DINI: Kuhusu ushoga, Yesu Kristo angelikujibu hivi "Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe."
MILA NA DESTURI: Lakini pia mtazamo wa kitamaduni, Tanzania tumekuwa na mashoga hata kabla ya wazungu ama waarabu kuja, tunaishi nao, wengi wamekuwa wakijificha, na wengi hulazimika kuoa ili kuificha jamii uhalisia wao.
PIA KUNA WATU WENGI TU, Huwaingilia wake zao kinyume na maumbile.
MWACHENI MUNGU MWENYEWE AHUKUMU.
Sheria zinatungwa na nani ?Ndio maana zipo SHERIA.
Serikali ni nini na inaundwaje ?Serikali ndio unaowajibu wa kuhakikisha jamii inakuwa na maadili.
Kwahiyo Fatma Karume siyo.sehemu ya jamii wala serikali ?Ukishapata viongozi wenye mtazamo Kama Fatuma Karume jamii yote lazima iharibike.
Maovu ni nini ?Huwezi dili na watoto wako Kuwatunza kwenye jamii inayokaribia Kuruhusu maovu.
Hivi unajua kufikiri sawa sawa kweli ??Sijui Kama unajua maana ya Serikali
Vinyago.Mlikuwa na matambiko tupu kila kitu kimetoka kwa wazungu, Africa imevumbua kitu gani kikaenda Ulaya au Marekani?
Atauhukumu lakini amekuruhusu kuuukataza upumbavu kama huo siyo kuuacha acha tu ufanyike kipuuzi.Kufirana kumekuwepo Tanganyika na Zanzibar miaka mingi, watu wamefanya hivyo wakiwa maporini, na sehemu mbalimbali ila kwa kujificha sana. Wako wengi, hata nje ya Tanzania mfano Mfalme Shaka Zulu alikuwa anajisitiri na wanaume wenzake. HAYA MAMBO MWACHIENI MUNGU TU AHUKUMU.
NINAVYOMJUA YESU KRISTO, USIJE KUSHANGAA SIKU YA HUKUMU UKAONA ALIYEKUWA SHOGA HAPA DUNIANI ANAENDA PEPONI. INATEGEMEA HUYO SHOGA AMEKUWA NA IMANI GANI NA MUNGU WAKE.
Yaonekana uwezo wako ni mdogo sana. Eti "maoni yake". Hujui kuwa Yesu Kristo ndiye atakayeuhukumu ulimwengu?
Imani yangu ni kulinda jamii yangu na wahuni wanaotaka kuiharibu.
Dini ya hakhi..ile ya mnyazi mungu..kufukua tope ndio sunnah..Dini yangu inaniambia kumuingilia mke wangu nyuma ni Sunnah!
Moto anapelekewa Hamza, wewe Saidi unaumia vipi?
Waacheni watu wafanye kile wakipendacho wakiwa faragha, tatizo letu watz ni unafiki uliopindukia.
Nikikuuliza hapa mtoa mada kuwa mtaani kwako hakuna gays na lesbians?
Je umechukua hatua gani kama wapo? Je hujui kuwa kuna watu wanazaliwa kwenye hiyo hali?
Je nao tuwachome moto na kuwateketeza kwa ulemevu wao wa kuzaliwa nao?
Shukuru muumba wako kwakuwa umezaliwa ukiwa mtimilifu.
Ushoga wa jirani yako usikuumize kichwa, mwache apelekewe moto as much as he like.
Na wewe kama waona wivu, tafuta mtu akupelekee moto au tafuta mtu mpelekee moto.
Sent from my LM-K500 using JamiiForums mobile app
Wewe una haki ipi ya kuhukumu na kufundisha wengine, ili hali umejaa maovu. mwache shoga mwenyewe awe na mawasiliano na Mungu wake. Ukisoma hii kisha uniambie wewe unaangukia wapi.Atauhukumu lakini amekuruhusu kuuukataza upumbavu kama huo siyo kuuacha acha tu ufanyike kipuuzi.
2TIMOTHEO 3:16.
"Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki"
Unajipa kazi nzito sana mkuu, " kuilinda jamii dhidi ya wahuni" sio jambo dogo, na ukifanikiwa hakutakua na haja ya mahakama wala vyombo vya kusimamia haki na kuadhibu wanaovunja haki na sheria.
Nafikiri unachoweza kufanya ni kuelimisha, hayo mengine waachie wao waamue.
Wewe una haki ipi ya kuhukumu na kufundisha wengine, ili hali umejaa maovu. mwache shoga mwenyewe awe na mawasiliano na Mungu wake. Ukisoma hii kisha uniambie wewe unaangukia wapi.
1 Wakorintho 6: 9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Moto anapelekewa Hamza, wewe Saidi unaumia vipi?
Waacheni watu wafanye kile wakipendacho wakiwa faragha, tatizo letu watz ni unafiki uliopindukia.
Nikikuuliza hapa mtoa mada kuwa mtaani kwako hakuna gays na lesbians?
Je umechukua hatua gani kama wapo? Je hujui kuwa kuna watu wanazaliwa kwenye hiyo hali?
Je nao tuwachome moto na kuwateketeza kwa ulemevu wao wa kuzaliwa nao?
Shukuru muumba wako kwakuwa umezaliwa ukiwa mtimilifu.
Ushoga wa jirani yako usikuumize kichwa, mwache apelekewe moto as much as he like.
Na wewe kama waona wivu, tafuta mtu akupelekee moto au tafuta mtu mpelekee moto.
Sent from my LM-K500 using JamiiForums mobile app