Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
"Unapaswa kufanya vizuri kwa ajili Watanzania, wanastahili kilicho bora. Wanastahili mfumo wa haki unaofanya kazi, wanastahili mahakama huru, wanastahili mahakama itakayolinda katiba, wanastahili mahakama itakayolinda haki zao za msingi.
"Hivi ndivyo Watanzania wanavyostahili, tuwape hicho. Tuache michezo ya kukandamizana, sasa hivi tunakandamiza wanasheria, kwa nini? Tuwape Watanzania mfumo wa haki unaofanya kazi." - Fatuma Karume
"Hivi ndivyo Watanzania wanavyostahili, tuwape hicho. Tuache michezo ya kukandamizana, sasa hivi tunakandamiza wanasheria, kwa nini? Tuwape Watanzania mfumo wa haki unaofanya kazi." - Fatuma Karume