Fatuma Karume aambiwe sheria za Asili (za Mungu) hazipitwi na wakati

kama umenielewa nilichokisema hiyo yote ni matendo yenye viashiria vya ushoga ndio maana nimesema sisi watanzania ni wanafiki kwa kushangilia hayo matendo huku tukipinga ushoga
suala la asili ni utashi tu wa kibinadamu kwani nani kasema lazima ulale usiku na mchana ufanye kazi

Hiyo nani kasema ndio hiyo unayoambiwa mambo ya asili.
 
kama umenielewa nilichokisema hiyo yote ni matendo yenye viashiria vya ushoga ndio maana nimesema sisi watanzania ni wanafiki kwa kushangilia hayo matendo huku tukipinga ushoga
suala la asili ni utashi tu wa kibinadamu kwani nani kasema lazima ulale usiku na mchana ufanye kazi
Mzee mbn unapenda kujumuisha watu ...?
Eti Watanzania ni wanafiki,hivi ulipita kwa kila Mtanzania mmoja mmoja ukauona huo unafiki??
Kwanini usijitaje mwenyewe kwamba ni mnafiki?....unatetea upuuzi
 
Back
Top Bottom