parts
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,711
- 1,747
😃😃Usipoitaja Chadema kuna kipele kinakuwasha?
😃😃Usipoitaja Chadema kuna kipele kinakuwasha?
Mzee umeeleweka. Ila Fatma alikuwa ni mmoja wa ma senior partner, yeye na Ishengoma.
Sasa Shangazi akija mtaani patakalika kweli
Ukipinga uongo weka ukweli. Magai,Andy Chenge,Masha =?Acha uongo basi wewe
... Shangazi aje mtaani kufanya nini; international material ile. Hakosi kazi mahali popote duniani hata Robert Amsterdam LLC inaweza kuingia partnership naye. Sio mtu wa kuwinda teuzi za fadhila.Sasa Shangazi akija mtaani patakalika kweli
Ndo maana tunawaambia uvccm akili ziko lumumba hv kwa akili yako wewe huyo fatma hata akifukuzwa kazi anapungukiwa nini Kodi unayolipa ww na Bibi yako ndo inawalisha ukoo wa karume mpaka wafe,unatakiwa umshukuru fatma pamoja na raha anazokula ikulu lkn kaamua kua upande wetu maskini tofauti na matoto ya mkapa,mwinyi,nkKuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
Vibaya hivyo lolHapana...hakuna nafasi kwa mtu anayeshabikia ujinga waccm! Tusiazimane hata maji...hamfai
Hii reply imedhihirisha HOW KIAZI YOU ARE!Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
Anabet balaaSio geni, aungane na jobless wengine mtaani akiwemo jobless namba moja albert Bashite
Masha hayumo tangu 2017, Andy Change siyo partner, Magai ni mmoja wa equity and founder partners. Msiweke vitu kwa kubeba habari nusunusuUkipinga uongo weka ukweli. Magai,Andy Chenge,Masha =?
Binti wa Chenge ni patiner,Andrew Chenge Jr ni muajiriwa. Hizo share za binti wa Chenge ni Chenge.Masha hayumo tangu 2017, Andy Change siyo partner, Magai ni mmoja wa equity and founder partners. Msiweke vitu kwa kubeba habari nusunusu
Kwani ni Yeye amemfukuza huyu bibi wa urojoTundu Lissu, ni yeye tena.
Umesoma bandiko na kuelewa.
Acha uongo weweBinti wa Chenge ni patiner,Andrew Chenge Jr ni muajiriwa. Hizo share za binti wa Chenge ni Chenge.
Acha uongo wewe
Nimekumbuka msemo wa Steven Wassira kwamba hata mapadri na mashehe humtaja taja shetani...Usipoitaja Chadema kuna kipele kinakuwasha?
Masha si alijitoa baada ya kuteuliwa kuwa waziri na JK?Uzuri uwakili wake anabaki nao. Wangemnyanganya kichwa chake hapo ingekuwa habari nyingine. Naona Law Masha anatafuta hata ukuu wa mkoa kwa njia zote.