YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Chukulia may be CCM ni client wao halafu yeye kama mwajiriwa anaanza kuiporomoshea Matusi CCMHivi tukio la yeye kufukuzwa kisa activism na tupo kwenye uchaguzi (tunatazamwa) siyo ni kiashirio cha hovyo kwa nchi na taasisi mbalimbali?
Halafu CCM wanaondoka na ndio wateja wakubwa unategemea mshahara utatoka wapi si unaua kampuni.