Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,172
- 56,675
Ni ya Law Masha na genge lake kina Magai.Bila kumsahau Mtemi Chenge. Mwanae anaitwa Madina Chenge ni boss pia hapo. Hata Ridhimoko alishawahi kufanya kazi hapo.Kumbe IMMMA ni ya maccm au
Ni ya Law Masha na genge lake kina Magai.Bila kumsahau Mtemi Chenge. Mwanae anaitwa Madina Chenge ni boss pia hapo. Hata Ridhimoko alishawahi kufanya kazi hapo.Kumbe IMMMA ni ya maccm au
Mbona mawakili wa serikali ni wazuri kumzidi Fatma
akikujibu niite😂😂😂Unajua kusoma vizuri kweli ? Tuanzie hapo
Kama unajua kusoma umeelewa kilichoandikwa humo ndani?
Yaani anatamani amuozeshe mkewe kwa vijana wa m4c.Usipoitaja Chadema kuna kipele kinakuwasha?
Nadhani hauko makini katika kufuatilia kesi alizosimamia. Be aware. Little knowledge is poison. Get all the facts before you commit pen to paper. Sawa mpwaShare kawa nazo lini? Kelele tu yule ila hamna kitu, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi hata moja
Wao wanatoa ushauri mzuri tuWangekuwa wazuri wangeingia mikataba ya ajabu ajabu iliyoigharimu nchi.
😇😇U wish🙃
Acha uongo basiUzuri uwakili wake anabaki nao. Wangemnyanganya kichwa chake hapo ingekuwa habari nyingine. Naona Law Masha anatafuta hata ukuu wa mkoa kwa njia zote.
Acha uongo basi weweNi ya Law Masha na genge lake kina Magai.Bila kumsahau Mtemi Chenge. Mwanae anaitwa Madina Chenge ni boss pia hapo. Hata Ridhimoko alishawahi kufanya kazi hapo.
Anajua inglishi Kama Tundu eeeewe kati ya vilaza fatuma ni wakili mwenye uwezo mkubwa kwa kujenga hoja na kauza jina sna pale Fatuma ni wakili ambae anaweza argue kesi kwa kingereza fruequent hata uk fatuma anaweza kukutetea
Jamiiforum nakupendaaaa😂😂😂😂Leseni ipo kizuizini au imefutwa!
"Mwanangu fikta usigombane na serikali, bishana nayo kwa mipaka! Nimekulipia ada usome sio kurusha mawe kwenye gari ya police"
Ushauri wa mzee shayo kwa mwanaye
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Uzuri uwakili wake anabaki nao. Wangemnyanganya kichwa chake hapo ingekuwa habari nyingine. Naona Law Masha anatafuta hata ukuu wa mkoa kwa njia zote.
Siyo aliajiriwa bwana alikuwa ni mmoja wa wahia wa hiyo kampuni!Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
Unawapangia?TBC kwa ujinga wao,utawaona saa 2 usiku
Mkuu ficha ujinga wako kiingereza kinakupiga chenga.Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
So whatAsanteni Sana kwa Taarifa, huyu anazidi kupata umarufu na hii habari nategemea kuiona TBC, CNN, BBC na Al jazeera.
Alikuwa ni partner sio muajiriwa..Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
♥️♥️💋💋💋🥰🥰💦
Umesoma bandiko na kuelewa.Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale