Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Anakufanyia vimambo kama kukununulia nguo zako, wakati mwingine kama kuna vitu vilipungua unakuta ameshanunua hata kama huwa inajulikana unanunua wewe..ukitimiza wajibu wako, mke anajitahidi kuonyesha na yeye anaweza kutoa mchako kama msaada wa ziada.

Sasa pesa uipeleke kwa mchepuko alafu utegemee heshima nyumbani? Akigoma kutoa hata kumi utamlaumu? Na sio jukumu lake kwanza kuhudumia familia.


shikamoo mkuu!
 
DADA UNAZUNGUMZIA ENZI ZA MABABU KIPINDI HIKO MWANAMKE NI PAMBO LA NYUMBA A.K.A MAGOLIKIPA NA KAZI ZA KIUCHUMI ZILIKUWA ZINAFANYWA NA WANAUME.
SIKU HIZI WANAWAKE WANAFANYA KAZI TENA KWENYE AJIRA MNAPEWA KIPAUMBELE KULIKO WANAUME (NINA UZOEFU NALO)
KWA HIYO HATA FURSA ZINGNE ZILIZOKUWA ZA WANAUME MMEKABA.. SASA NYIE HIYO HELA MNATAKA KUFANYIA NINI?? KAMA VIPI TUKUBALIANE KUWA MWANAMKE ASIFANYE KAZI YOYOTE YA KIUCHUMI.
DHANA ZIMEBADILIKA, MAJUKUMU KUSAIDIANA NA HAIWEZ ONDOA HADHI YA MUME/MKE KATKA MAMBO YA KIJAMII NA NDOA.
 
wanawake ni wachoyo sana,,, mmeumbwa hivyo.... kwani ukichangia familia ya unapungua wapi,,,,au zako wewe ni kwa waganga tuu....... tena ukicheza nao hata sadaka atakuomba japo hata mshahara amekuzidi....hivi mnataka nini sasa ili tuifurahie dunia pamoja ke+me.......kujidai kuchepuka kufidia hako ni katabia kako,,,hakafutiki kamwe....



hahahahha nimecheka sana kwakweli!eti kwa waganga hahahahah! usikariri!
 
Pamoja na kufanya hayo makubwa ya kuwa na boma/maboma nashangaa wakina mama wanaona hii kama ni kazi ndogo! Kujenga boma si kazi ndogo, ni shughuli na jasho lazima likutoke mwilini, gharama yake ni kubwa na haijalishi kama nyumba ni ya vyumba 2 au 10!
Na wakina mama neno (kwangu) huwa ni rahisi sana kulisema wakiwa na wenzao, lakini hawapendi ku appreciate ile nguvu iliyoingia pale toka ununuzi wa eneo na kuanza toka a-z, hili wakina mama lazima, narudia tena lazima muwe mnatusifia kila wakati na (zawadi) juu kila tukiwa depressed😉



hahahahah! unataka kick wewe sio bure!
 
Hata kwa wakwe pia tunapeleka tena kwa jina la mume wakati mwenyewe wala hajui

Precisely, kuna watu watabisha hapa, ila mara nyingi Mama ananipigia simu kushukuru kwa msaada kumbe wife katuma hata bila kunitaarifu. Mazingira kama hayo utaacha kumjali na kuwajali upande wao kweli?

Walioenda shule wanasema reciprocation
 
Ni pale mwanaume anapokhimiza utoe 50% ya budget yenu ya ndani, hapo si umeshajiweka kuwa unaishi na co-partner? Baada ya hapo unaamka asubuhi unategemea utandikiwe kitanda na boxers zako kule bafuni zifuliwe. Kama mke mambo yake yake yakienda vibaya si unamuweka kwenye hatari ya kupata kidume cha kumpa ile 50% ambayo unaitegemea? Kama unataka kuweka heshima ya ndoa ndani jitume kama mwanaume kwanza pesa yetu ni ya chumvi na mchuzi mix.
.
Sky Eclat babe wangu! Leo umetoa kali! Hivi unamfahamu Samia Suluhu? Yeye na mumewe nani mwenye kipato kikubwa zaidi? Uanauke wake akiwa nyumbani unatokana na nini? Na uanaume wa mumewe unatokana na nini? Kuna wimbo unaitwa "Uzuri wa mwanaume....Mwanaume mashine," umeshausikia? Nijibu maswali hayo kwanza afu ntarudi.... Ukijibu vibaya, natoa talaka tatu kwa mpigo! (Joke!)
 
Precisely, kuna watu watabisha hapa, ila mara nyingi Mama ananipigia simu kushukuru kwa msaada kumbe wide katuma. Mazingira kama hayo utaacha kumjali na kuwajali upande wao kweli?


kweli wewe ni samaritan i wish wanaume wote mngekuwa kama huyu jaman! msingeona tunawadharau kwa kitu chct kile! yaan uprovide namna hii alafu wife akudharau kwakweli atakuwa hana shukran! na umuogope pia!
 
Ndio maana wanaume wa kiafrika tunawahi kufa na hatuendelei. Mke badala ya kua msaidizi anakua mnyonyaji, kupe, yeye ni kuhakikisha unakamlika hadi ufe.

Wanawake wa kiafrika ndio maana wanapenda sana kuolewa, hawaoni kama hawawezi kuishi bila mume maana akili yao yote iko kwenye kumtegemea mume hata kama mke ana kipato kikubwa kuliko mke.

Ndio maana watu kama mimi tushaona hakuna umuhim wa kuoa, kama ni watoto unazaa na wanawake wawili au watatu mtoto mmoja mmoja kisha unatunza watoto, maisha mukide.

Aisee
 
dah ngj nikujibu hv! nina utu kama na ww una utu kwangu! kama huna utu na mm sitakuwa na utu! i can dance accordng the dance! mnatuchosha tu na kutupausha!
Aise misikitini na makanisani haswa kwenye mafundisho ya ndoa ndivyo mnavyofundishwa hivyo? Na pia Mungu anasema kwamba ukiwa kwenye ndoa lipa baya kwa baya sio?
Na pia priority ya kuingia kwenye ndoa ni kutokupauka na kutokuchoshwa ?

Na another thing, hayo "mahitaji" ni kwamba unalazimishwa upewe ama unaomba ? Na hayo mahitaji yana base katika kujipodoa na kuvaa nguo za gharama au pia yana base katika na kujenga familia iwe stable? Na katika hayo mahitaji unayolilia yanapokosekana yanakosekana kwa sababu gani? Na yakikosekana uamuz upi unachukua

Mentality ya kusema hela ya mke ni ya kununua supu tu na kujipendezesha tu na mume kama kiongoz wa familia anafanya kila kitu, je familia inajengwa na mume tu?

What if mume anapata matatizo makubwa
wewe kama mke utamkimbia utasema kwamba unamkimbia sababu yeye sio provider tena na unakosa mahitaji yako na hapo una uwezo wa kusaidia ili ainuke lakin sabab pesa yako ni ya mchuz mix huwez kufanya lolote sio
 
Kha! Huku tunapoelekea wanawake wanazidisha uchoyo ya vijipesa vyao. Yani baadhi ya wanawake wa kileo ni bora akupe tigo kuliko akupe pesa zake. Why? Ishini kijamaa ndani ya ndoa. Ndoa ni kusaidiana. Huyu akipata huku na huyu akipata kule mkaunganisha nguvu, mnapiga hatua haraka...


unachosema ni kweli kbs kuu,lakin shida inakuja mnakuwa wabinafs sana!hela zenu mnafuja na mnajijali nyie tu! ndo maana na mm gesi ikiisa nakutxt!hope umeelewa sasa!
 
Aise misikitini na makanisani haswa kwenye mafundisho ya ndoa ndivyo mnavyofundishwa hivyo? Na pia Mungu anasema kwamba ukiwa kwenye ndoa lipa baya kwa baya sio?
Na pia priority ya kuingia kwenye ndoa ni kutokupauka na kutokuchoshwa ?

Na another thing, hayo "mahitaji" ni kwamba unalazimishwa upewe ama unaomba ? Na hayo mahitaji yana base katika kujipodoa na kuvaa nguo za gharama au pia yana base katika na kujenga familia iwe stable? Na katika hayo mahitaji unayolilia yanapokosekana yanakosekana kwa sababu gani? Na yakikosekana uamuz upi unachukua

Mentality ya kusema hela ya mke ni ya kununua supu tu na kujipendezesha tu na mume kama kiongoz wa familia anafanya kila kitu, je familia inajengwa na mume tu?

What if mume anapata matatizo makubwa
wewe kama mke utamkimbia utasema kwamba unamkimbia sababu yeye sio provider tena na unakosa mahitaji yako na hapo una uwezo wa kusaidia ili ainuke lakin sabab pesa yako ni ya mchuz mix huwez kufanya lolote sio


usigeneralize mambo!ngj nikupe mfano,nimeshirikiana na ww kwa kila jambo mfano kusimamisha boma ,nimejibana

niwezavyo kuanzisha biashara! lakin ww mume sasa unafuja pesa utadhan hatuna watoto! yaan uantumia hela ovyoovyo

ukijua mke wangu hana shida na hanaga maneno! unawajali wanao na ww tu! hujui mkeo anavaa nn,ni vile kuna bima ndo

pona yake! huon km ww ndo chanzo cha mm kubadilika!

hujui kuna wanaume wengn tar2 ya mwzi hana hela kutoka hapo anatrgemea mke maana anajua yy anazo?/lakini bado hunithamini unanifuja tu! ukipata hela wewe unaingia sasa kufanya shopping yako na ya wanao! ukiishiwa ndo unajua ndan nna mke! kwngu mm sahau aic! acha nijifunze roho nyeusi!
 
Back
Top Bottom