Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Hata K alimsifia hivihivi
I love Smart911 kuliko kitu chochote na najivunia kumpata his history has nothing to do with me. even you have your history I also have mine.. What's important now is that I got Smart911 a unique man. so give us a break pipo

He's blessed na kamwe sito chezea shilingi chooni...

Mahondaw wa Smart911
 
I love Smart911 kuliko kitu chochote na najivunia kumpata his history has nothing to do with me. even you have your history I also have mine.. What's important now is that I got Smart911 a unique man. so give us a break pipo

He's blessed na kamwe sito chezea shilingi chooni...

Mahondaw wa Smart911

Haya maneno ya kijasiri ungetupia kule kigoma ingekuwa fresh sn
 
I love Smart911 kuliko kitu chochote na najivunia kumpata his history has nothing to do with me. even you have your history I also have mine.. What's important now is that I got Smart911 a unique man. so give us a break pipo

He's blessed na kamwe sito chezea shilingi chooni...

Mahondaw wa Smart911
eeeh Mungu na mimi mjalie mke wangu awe na moyo kama wa mahondaw nikimcheat akijua aendelee tuu kunipenda mana wanawake wengi na cc wanaume wachache kwaiyo tumeumbwa ili tuwape utamu wote na c kwa mmoja tuu Mungu mjalie mke wangu awe na moyo kama wa uyu dada mahondaw akija jua na mcheat asinichukie aendelee tu kunipenda cc Mrs Mkunungu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😡😡NONSENSE😡😡 kwani kuwa mwanaume ni kwenye kutoa hela tu?? kwani we ukitoa hela shida iko wapi?? ila kama wewe ni wa vidume mbadala hata ukiambiwa uchangie 0% bado utarukaruka tuu

good morning to you.
ndiyo mkuu kwenye kutoa hela
 
Sky, kwa nini basi wote tuamke asubuhi, tuwaache watoto wadogo kabisa(imagine after three months mama anamuacha kichanga home anaenda kazini), twende kazini, turudi saa mbili usiku, watoto hawatujui vizuri coz tunatafuta pesa.

Then kipato cha mmoja kiwe "optional" kutumika? Hivi, what's the point you waking up at 0500hrs, coming back home at 2200hrs if you are stingy to your own family and can't share your income?

Nilidhani point ya wote kuamka saa 11 na kurudi saa nne ni kutafuta pesa kwa ajili ya familia. Sasa kama mmoja anaona kipato chake sio cha familia, anaitwaje family member? Na kwa nini aamke saa11, angekaa tu home ingekuwa busara zaidi.
Nakubaliana nawe 100%
 
Kwa hali hii sasa hivi nyie nendeni tu mkatafute hiyo percent yenu mnapojua wenyewe ilimradi tugawane haya majukumu,
 
Huyo ni mfano wako wa kufanana naee,,,,,,ubavu wake,,,nyama katika nyama yakee,, na utaambatana nae,,, sasa ubaguzi kwenye mshahara unatoka wapii,,,si mmekuwa mwili mmoja nyiee??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo sikatai kama mimi ni mke nitafute nitapika nitaogesha watoto, sitatoka ndani bila ruhusa yake na yeye ndiye head of the house. Chakula kikiiva kwanza nimpakulie baba na mapaja yote mawili ya kuku atatengewa yeye lakini nitakacho fanya ni hela ya vitunguu na nyanya tu
 
Nakubaliana na wewe 100% jasho langu lote litaliwa na familia yangu. Nani mwingine kama sio wao. Kwanza inaleta baraka nyumbani kupungukiwa itakuwa hadithi.


Nilidhani point ya wote kuamka saa 11 na kurudi saa nne ni kutafuta pesa kwa ajili ya familia. Sasa kama mmoja anaona kipato chake sio cha familia, anaitwaje family member? Na kwa nini aamke saa11, angekaa tu home ingekuwa busara zaidi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo sikatai kama mimi ni mke nitafute nitapika nitaogesha watoto, sitatoka ndani bila ruhusa yake na yeye ndiye head of the house. Chakula kikiiva kwanza nimpakulie baba na mapaja yote mawili ya kuku atatengewa yeye lakini nitakacho fanya ni hela ya vitunguu na nyanya tu
Agreed,,,chacho, chako,,,,chake chenu,,,,ndoo principle ya marriage,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kawaida yako mahusiano mbele majungu,umbea,fitna umeviacha nyuma....safi sana je' aime sky eclat
 
Ni pale mwanaume anapokhimiza utoe 50% ya budget yenu ya ndani, hapo si umeshajiweka kuwa unaishi na co-partner? Baada ya hapo unaamka asubuhi unategemea utandikiwe kitanda na boxers zako kule bafuni zifuliwe.

Kama mke mambo yake yake yakienda vibaya si unamuweka kwenye hatari ya kupata kidume cha kumpa ile 50% ambayo unaitegemea?

Kama unataka kuweka heshima ya ndoa ndani jitume kama mwanaume kwanza pesa yetu ni ya chumvi na mchuzi mix.
Kwakweli mimi nimejiwekea kwamba nitapumzika pale mungu atakaponichukua, mimi mke wangu anafanya kazi lakn hata mshahara wake siujui na wala sitaki kuujua,kwakuwa ni banker basi fedha zangu zote nimeziweka kwenye account ambayo ana access nayo,chaajabu nikisafiri ananipigia tena simu oooh sijui gesi imeisha,mara oooh sijui nini imeisha,sasa namwambia hela yote unayo huko alafu unanidai tena huku, yaani mwanamke sijui huwa wanakuwa na nini,hapa jana ananiambia king'amuzi kimeisha wakati account yangu yupo nayo
 
Back
Top Bottom