Sky, kwa nini basi wote tuamke asubuhi, tuwaache watoto wadogo kabisa(imagine after three months mama anamuacha kichanga home anaenda kazini), twende kazini, turudi saa mbili usiku, watoto hawatujui vizuri coz tunatafuta pesa.
Then kipato cha mmoja kiwe "optional" kutumika? Hivi, what's the point you waking up at 0500hrs, coming back home at 2200hrs if you are stingy to your own family and can't share your income?
Nilidhani point ya wote kuamka saa 11 na kurudi saa nne ni kutafuta pesa kwa ajili ya familia. Sasa kama mmoja anaona kipato chake sio cha familia, anaitwaje family member? Na kwa nini aamke saa11, angekaa tu home ingekuwa busara zaidi.
Siku zote naamini mwanamke aliumbwa ili awe msaidizi wangu (refer book of genesis)!Ni pale mwanaume anapokhimiza utoe 50% ya budget yenu ya ndani, hapo si umeshajiweka kuwa unaishi na co-partner? Baada ya hapo unaamka asubuhi unategemea utandikiwe kitanda na boxers zako kule bafuni zifuliwe.
Kama mke mambo yake yake yakienda vibaya si unamuweka kwenye hatari ya kupata kidume cha kumpa ile 50% ambayo unaitegemea?
Kama unataka kuweka heshima ya ndoa ndani jitume kama mwanaume kwanza pesa yetu ni ya chumvi na mchuzi mix.
You said it all thanks mkuuSiku zote naamini mwanamke aliumbwa ili awe msaidizi wangu (refer book of genesis)!
Mimi kama mwanaume nitafanya wajibu wangu wa kuprovide chakula cha familia yangu pia nitailinda familia yangu kwa hali na mali!!
Sasa mwanamke kama msaidizi wangu nitamruhusu alete chakula only nikiwa sina uwezo huo either nikiwa mgonjwa au nikiwa na matatizo mengine yasiyozuilika otherwise mwanamke hawezi fanya majukumu yangu!!
Nakubaliana na mwanaume kusimamia show. Ila naomba niulize swali Sky.
Hivi uanaume ni nini? Ni kuhudumia familia/mwanamke?
Je, mwanamke akihudumia familia 100% naye ni mwanaume? Je, mwanaume asipomhudumia mwanamke uanaume unakwisha?
Kwa mantiki hiyo mtu wa kiume asipohudumia mwanamke wake atadisqualify kuwa mwanaume kwasababu mwanaume ni kuhudumia mwanamke.Japo swali sio langu. Ila naomba ujiulize kwanini mungu alikuumba wewe kwanza alafu kupitia ubavu wako ndio akaumbwa mwanamke?? Kwanini hakumuumba mwanamke then mwanaume afwate??
Swali langu halikuwa na maana ya kukataa mwanaume kuwajibika katika familia. Nilitaka kujua maana ya uanaume maana humu huwa nakutana na tafsiri nyingi saana mzee.Mwanamke alipewa jukumu la kuzaa kwa uchungu, je wewe kama mwanaume unajua ulipewa jukumu gani?
Kwa mantiki hiyo mtu wa kiume asipohudumia mwanamke wake atadisqualify kuwa mwanaume kwasababu mwanaume ni kuhudumia mwanamke.
(Fikiria kwa ambao hawaamini maandiko pia).
Swali langu halikuwa na maana ya kukataa mwanaume kuwajibika katika familia. Nilitaka kujua maana ya uanaume maana humu huwa nakutana na tafsiri nyingi saana mzee.
Genesis 3:17-19Kwa mantiki hiyo mtu wa kiume asipohudumia mwanamke wake atadisqualify kuwa mwanaume kwasababu mwanaume ni kuhudumia mwanamke.
(Fikiria kwa ambao hawaamini maandiko pia).
Swali langu halikuwa na maana ya kukataa mwanaume kuwajibika katika familia. Nilitaka kujua maana ya uanaume maana humu huwa nakutana na tafsiri nyingi saana mzee.
Kwa hiyo mwanaume anayeishi mwenyewe pasipo mwanamke wa kumhudumia huyu atakuwa sio mwanaume kamili maana kakosa indicator ya kuhudumia sio.Mkuu ni lazima tukubaliane kwamba mimi naongolea mke na sio mwanamke!! Mwanamke anaweza asiwe mke mkuu!!
Achilia mbali bible, ila mwanaume ni lazima uwajibike kwa mke/ familia yako hasa katika angle ya ku provide!!
And yes, kuprovide food for your family ni moja ya indicators za uanaume!!
Wewe ulikua na mawazo gani mkuu?
Mwanaume anaposhindwa kuprovide hata nguvu ya kutoa ma'am uzi ndani ya nyumba inapungua.Mkuu ni lazima tukubaliane kwamba mimi naongolea mke na sio mwanamke!! Mwanamke anaweza asiwe mke mkuu!!
Achilia mbali bible, ila mwanaume ni lazima uwajibike kwa mke/ familia yako hasa katika angle ya ku provide!!
And yes, kuprovide food for your family ni moja ya indicators za uanaume!!
Wewe ulikua na mawazo gani mkuu?
Huko hatujafika lakini ineandikwa kuwa mwanaume atamwacha baba yake na mama yake nae ataambayana na mkeweKwa hiyo mwanaume anayeishi mwenyewe pasipo mwanamke wa kumhudumia huyu atakuwa sio mwanaume kamili maana kakosa indicator ya kuhudumia sio.
Kwangu , mwanaume ni mwanaume.
Hata hiyo 50% tunawaonea tu, jukumu la kutunza na kuhudumia familia ni la mwanaume. Biblia ikaandikwa utakula kwa jasho...wife ana kazi lakini sitegemei kumpa jukumu la familia.
Uko sahihi. Ila kuna time unakuta uko hoi mambo yako yamekwama hapa lazima mama watoto atoe pesa (kama anakazi lakin) kama msaidizi wangu!!Mwanaume anaposhindwa kuprovide hata nguvu ya kutoa ma'am uzi ndani ya nyumba inapungua.
hakika wanaume halisi bado wapo hapa duniani! kuna nwanaume anakupa jukumu had unaogopa kujiita umeolewa jaman! mume anakutundika ada nzima ya mtoto!kha hv tumeolewa au KUJIOA! hongera saana mwanaume wewe!
mwanaume akitimiza mahitaj yake automatic mwanamke anaejielewa hatasita kukusaidia nmajukumu mengn yaan inakuja tu automatic!siwez shindwa kulipa transport za watoto hata kidg jaman! maana unajua kabsa mume ananifanyia haa kwasabb m mkewe!..huwez shindwa wewe mwanamke unaejitambua kununua kilo 50 za mchele ukaleta home! khaaaaaaaa! wanaboa sana desgn hii kwakweli!
Teh nipo hapo mlipo sky sema amefukua kaburi nililolizikaHuko hatujafika lakini imeandikwa kuwa mwanaume atamwacha baba yake na mama yake nae ataambatana na mkewe