Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Mwanaume anaposhindwa kuprovide hata nguvu ya kutoa ma'am uzi ndani ya nyumba inapungua.

Unajua unagonga mlemle kama Biblia inavyosema, kuna mstari unaeleza akopae anakua mtumwa wa mkopeshaji..inamaana hawezi kuwa na sauti au maamuzi huru.

Nafikiri hiyo imeshuka hata kwenye familia. Mume ukishindwa kusimama kwenye nafasi yako hauwezi kumudu sehem ya maamuzi mengine, utaishia kuwa mkali tu..utagomba na kununa hata kwa vitu visivyo na msingi.
 
Kati ya pesa na utu kwako wewe kipi ni cha kwanza

Na pia kati ya pesa na neno la Mungu kipi kwako ni cha kwanza
 
Mimi huwa najiuliza wanawake pesa zao huwa wanazifanyia nini

Sent using Jamii Forums mobile app


tunawanunulia nyie nguo zenu mvae mpendeze muonekane smart,
tunanunua nguo za watotot wetu,mama anaejali lazima atafanya haya,
tunapendezesha nyumba zetu kununua mapazia na vyombo mbali mbaliI(mwanamke nyumba)
wenye mapenzi na vyombo vya ndan pesa zetu hupotea hapa
tunajikumbuka na sie kujivisha !hamkawii kutunulilia tenge la 15000/linalochujaaa na huku kuna matenge ya haja ya bei nzuri tu,
saloon kila week!
bado mashemeji na madogo wako wa vyuo hawajakupiga panga!
 
Unajua unagonga mlemle kama Biblia inavyosema, kuna mstari unaeleza akopae anakua mtumwa wa mkopeshaji..inamaana hawezi kuwa na sauti au maamuzi huru.

Nafikiri hiyo imeshuka hata kwenye familia. Mume ukishindwa kusimama kwenye nafasi yako hauwezi kumudu sehem ya maamuzi mengine, utaishia kuwa mkali tu..utagomba na kununa hata kwa vitu visivyo na msingi.
Mwanzo wa depression na wengine wanaishi a kuwa walevi. Wewe provide uone mke wako atakuaga hata safari ya kwanza kununua wanja na kurudi
 
Unajua unagonga mlemle kama Biblia inavyosema, kuna mstari unaeleza akopae anakua mtumwa wa mkopeshaji..inamaana hawezi kuwa na sauti au maamuzi huru.

Nafikiri hiyo imeshuka hata kwenye familia. Mume ukishindwa kusimama kwenye nafasi yako hauwezi kumudu sehem ya maamuzi mengine, utaishia kuwa mkali tu..utagomba na kununa hata kwa vitu visivyo na msingi.


samahan mkuu Samaritan naweza kuupata huo mstari ni kutoka kwenye biblia kitabu gan! kumbe na ww umejua na ww mnaishiaga kuwa wakali tu ubabe wa HOVYOHOVYO!!!!shukrani!
 
Tuna top up budget kama haijakamilika
Mimi nna mke ujue na anafanya kazi serikalini kwenye nafasi nzuri tu na ana mshahara si haba, ila pesa zote za mahitaji ya ndani na kuendea saloon ananiomba wakati mimi siko vizuri kivile, sasa sielewi pesa zake ye huwa za kazi gani. Ukimuuliza anakwambia mara ohh namsomesha mdogo wangu, mara nawasaidia wazazi wakati wazazi wako vizuri tu. Nyie wanawake ni majanga kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo wa depression na wengine wanaishi a kuwa walevi. Wewe provide uone mke wako atakuaga hata safari ya kwanza kununua wanja na kurudi



hehehehehehhehehehehehhhehhehehehheheheeeeheheheheeehehhehhehheh kumbeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
tunawanunulia nyie nguo zenu mvae mpendeze muonekane smart,
tunanunua nguo za watotot wetu,mama anaejali lazima atafanya haya,
tunapendezesha nyumba zetu kununua mapazia na vyombo mbali mbaliI(mwanamke nyumba)
wenye mapenzi na vyombo vya ndan pesa zetu hupotea hapa
tunajikumbuka na sie kujivisha !hamkawii kutunulilia tenge la 15000/linalochujaaa na huku kuna matenge ya haja ya bei nzuri tu,
saloon kila week!
bado mashemeji na madogo wako wa vyuo hawajakupiga panga!
Yaani la 15,000 halikutoshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nna mke ujue na anafanya kazi serikalini kwenye nafasi nzuri tu na ana mshahara si haba, ila pesa zote za mahitaji ya ndani na kuendea saloon ananiomba wakati mimi siko vizuri kivile, sasa sielewi pesa zake ye huwa za kazi gani. Ukimuuliza anakwambia mara ohh namsomesha mdogo wangu, mara nawasaidia wazazi wakati wazazi wako vizuri tu. Nyie wanawake ni majanga kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app


naogopa kumlaumu maana nyie wanaume ni vigeugeu sana ukute alijiapiza hatatoa hela ya kusaidia apo kuna vtu huenda kagundua! ndo had aamue kusaidia labda ccm itoke!badilika
 
Mimi huwa najiuliza wanawake pesa zao huwa wanazifanyia nini

Sent using Jamii Forums mobile app

Lazima ujiulize kwa sababu hiyo haipo kwenye balance sheet ya familia kwamba itahudumia familia, ila pesa ya mwanaume iko wazi kabisa kwamba itaweka sawa mambo yote ya nyumbani.

Ukiwa unautaratibu wa kutekeleza wajibu wako, hawa viumbe pamoja na kuwasinfizia matatizo menfi lakini ni waelewa sana. Ataelewa tu kwamba sio kawaida yako kuna mambo hayapo kwenye mstari..lakini sio ile mtu ndio umeshamkabidhi baadhi ya mambo kabisa mke kwamba lazima ufanye hili, utalipia kile, hiyo hapana.

Mambo mazito ya miradi, ada, kama kuna kodi na hata mahitaji ya nyumbani, sijui mshahara wa dada, gesi n.k lazima uwe unaelewa utaratibu wake.

Tatizo wengi wetu hatupendi kuwashirikisha wake zetu inapokuja mambo ya pesa.
 
Kati ya pesa na utu kwako wewe kipi ni cha kwanza

Na pia kati ya pesa na neno la Mungu kipi kwako ni cha kwanza


sasa tena masuala ya Mungu yanaingiaje kwenye kukamilisha majukumu mkuu!yaan ushindwe kunitimizia mahitaj uanze kutafta sababu za dini tena !au sijakuelewa
 
Unajua unagonga mlemle kama Biblia inavyosema, kuna mstari unaeleza akopae anakua mtumwa wa mkopeshaji..inamaana hawezi kuwa na sauti au maamuzi huru.

Nafikiri hiyo imeshuka hata kwenye familia. Mume ukishindwa kusimama kwenye nafasi yako hauwezi kumudu sehem ya maamuzi mengine, utaishia kuwa mkali tu..utagomba na kununa hata kwa vitu visivyo na msingi.


demi ,Heaven Sent ,dada mwema njooni muone wanaume huku!
 
sasa tena masuala ya Mungu yanaingiaje kwenye kukamilisha majukumu mkuu!yaan ushindwe kunitimizia mahitaj uanze kutafta sababu za dini tena !au sijakuelewa
Kati ya UTU na PESA kwako wewe kipi ni cha kwanza?
Nijibu kwanza hii
 
Mwanzo wa depression na wengine wanaishi a kuwa walevi. Wewe provide uone mke wako atakuaga hata safari ya kwanza kununua wanja na kurudi

Anakufanyia vimambo kama kukununulia nguo zako, wakati mwingine kama kuna vitu vilipungua unakuta ameshanunua hata kama huwa inajulikana unanunua wewe..ukitimiza wajibu wako, mke anajitahidi kuonyesha na yeye anaweza kutoa mchako kama msaada wa ziada.

Sasa pesa uipeleke kwa mchepuko alafu utegemee heshima nyumbani? Akigoma kutoa hata kumi utamlaumu? Na sio jukumu lake kwanza kuhudumia familia.
 
Kati ya UTU na PESA kwako wewe kipi ni cha kwanza?
Nijibu kwanza hii


dah ngj nikujibu hv! nina utu kama na ww una utu kwangu! kama huna utu na mm sitakuwa na utu! i can dance accordng the dance! mnatuchosha tu na kutupausha!
 
Anakufanyia vimambo kama kukununulia nguo zako, wakati mwingine kama kuna vitu vilipungua unakuta ameshanunua hata kama huwa inajulikana unanunua wewe..ukitimiza wajibu wako, mke anajitahidi kuonyesha na yeye anaweza kutoa mchako kama msaada wa ziada.

Sasa pesa uipeleke kwa mchepuko alafu utegemee heshima nyumbani? Akigoma kutoa hata kumi utamlaumu? Na sio jukumu lake kwanza kuhudumia familia.
Hata kwa wakwe pia tunapeleka tena kwa jina la mume wakati mwenyewe wala hajui
 
Back
Top Bottom