Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Hivi kama mwanamke ni pambo la nyumba mbona kina Wema,Wolper,Gigi money hawaolewi na ni mapambo haswaaaa

Hizi akili zenu za kutaka tuwahudumie kila kitu na kitandani tuwaridhishe pia hizo ndoa mtakua mnazisikia tu kwa wenzenu


[QUOTE="Sky Eclat, post: 22320009, member: 106478"
mwanamke ni pambo la nyumba akipendeza hata wewe roho yako inaridhika. Mwanaume anaejali majukumu yake unampa heshima kama uliyokuwa unampa baba yako ukiwa bado kigoli nyumbani kwenu
[/QUOTE]
Ndiyo maana tunakesha ma kanisani tukiomba ndoa
 
Hivi kama mwanamke ni pambo la nyumba mbona kina Wema,Wolper,Gigi money hawaolewi na ni mapambo haswaaaa

Hizi akili zenu za kutaka tuwahudumie kila kitu na kitandani tuwaridhishe pia hizo ndoa mtakua mnazisikia tu kwa wenzenu


[QUOTE="Sky Eclat, post: 22320009, member: 106478"
mwanamke ni pambo la nyumba akipendeza hata wewe roho yako inaridhika. Mwanaume anaejali majukumu yake unampa heshima kama uliyokuwa unampa baba yako ukiwa bado kigoli nyumbani kwenu
[/QUOTE]
Hata hivyo huna sifa ya kua mume pia


Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmh, yaani kurudi asubuhi stress ya mambo mengine kwenye ndoa yameibuka.

With time you will recover, pole sana
 
Ni pale mwanaume anapokhimiza utoe 50% ya budget yenu ya ndani, hapo si umeshajiweka kuwa unaishi na co-partner? Baada ya hapo unaamka asubuhi unategemea utandikiwe kitanda na boxers zako kule bafuni zifuliwe.

Kama mke mambo yake yake yakienda vibaya si unamuweka kwenye hatari ya kupata kidume cha kumpa ile 50% ambayo unaitegemea?

Kama unataka kuweka heshima ya ndoa ndani jitume kama mwanaume kwanza pesa yetu ni ya chumvi na mchuzi mix.
kuna asilimia kubwa inayoonesha katika andiko lako kua wewe Hujaolewa na hujui siri ya Ndoa

Mi wanaume wachache sana wanakua na pesa muda wote 24/7/365 uliza wanawake wenzako walio katika ndoa how is get done humo
 
Ndo maana wahenga wanasema kuwa hamjui wanawake mnachokihitaji. kama mapenzi ya kweli ni mwanaume kutoa hela nyingi basi naamini kuwa mkiendelea kutukanwa, kudharauliwa, kutumiwa hovyo kingono kaeni kimya maana mnataka hela iwe inakohoa, roho mbaya ya mwanaume huanzia pale anapoombwa hela sana as if yeye ndo aloziunda. haina noma ngoja tuziafute then tuendelee kuwakula tu mpaka tuchoke maana hela ni yetu, then hatutaki nyuzi humu za kulalamika lalamika
Mpaka mwisho wa dunia mwanamke hata uumpe nini bado atalalamika tu na hataridhika, wewe fanya ya uwezo wako na majukumu yako, akimegwa nje hiyo juu yake, ukisikia bye bye usiposikia pole, ila za mwizi 40, tujiamini wanaume...
 
Ni pale mwanaume anapokhimiza utoe 50% ya budget yenu ya ndani, hapo si umeshajiweka kuwa unaishi na co-partner? Baada ya hapo unaamka asubuhi unategemea utandikiwe kitanda na boxers zako kule bafuni zifuliwe.

Kama mke mambo yake yake yakienda vibaya si unamuweka kwenye hatari ya kupata kidume cha kumpa ile 50% ambayo unaitegemea?

Kama unataka kuweka heshima ya ndoa ndani jitume kama mwanaume kwanza pesa yetu ni ya chumvi na mchuzi mix.
Huyo mmeo anafanya kwa jinsi ulivyo. Hongera kwa kumpata mme saizi yako, kwa nini unalalamika humu?
 
Kuepusha makelele, hata kama mke ana kazi gani aache, awe mama wa nyumbani!

Mwanaume ajue moja tu, kwamba ana jukumu la kuihudumia familia kwa kila hitaji!

LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
 
Back
Top Bottom