Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Fanya mambo kama mwanaume ili uwe mume

Ndo maana wahenga wanasema kuwa hamjui wanawake mnachokihitaji. kama mapenzi ya kweli ni mwanaume kutoa hela nyingi basi naamini kuwa mkiendelea kutukanwa, kudharauliwa, kutumiwa hovyo kingono kaeni kimya maana mnataka hela iwe inakohoa, roho mbaya ya mwanaume huanzia pale anapoombwa hela sana as if yeye ndo aloziunda. haina noma ngoja tuziafute then tuendelee kuwakula tu mpaka tuchoke maana hela ni yetu, then hatutaki nyuzi humu za kulalamika lalamika
unajua unaweza sema unanikomoa ila me ndiyo napenda .. we tafuta hela tu
 
sijakariri mama upepo!! ni facts........na sio wote.....ila wengi mnaenda kwa babu....tena sana,,,tatizo ni mnaoshare nao.....mmejaliwa silaha ya kuongea,,,,



mie toka nazaliwa sijawah sikia ndg au wazaz wameenda kwa waganga! alafu mie nn shida moja yaan siku itokee nimeenda kwa mganga jaman nitakuwa nacheka had machozi!sijui kwann nawaona km comedian! binafs mie sijawah ht fikiria niende kwa mganga!kufanya nn kwanza! aahahahahahahahahahahahh!


april nilipata ajali..nikaumia ! akaja rafk angu akaniambia hii ajali ina walakini! ahaha na huku anajua kbs chanzo cha ajali kilikua break zilifeli na barbra ilikuabmbv sana !yan ten akawa anaongea anasikitika sana sana !nilicheka sana! mie sijawah amini waganga! na ninavyopenda kucheka atanifukuza mara 1!
 
mie toka nazaliwa sijawah sikia ndg au wazaz wameenda kwa waganga! alafu mie nn shida moja yaan siku itokee nimeenda kwa mganga jaman nitakuwa nacheka had machozi!sijui kwann nawaona km comedian! binafs mie sijawah ht fikiria niende kwa mganga!kufanya nn kwanza! aahahahahahahahahahahahh!


april nilipata ajali..nikaumia ! akaja rafk angu akaniambia hii ajali ina walakini! ahaha na huku anajua kbs chanzo cha ajali kilikua break zilifeli na barbra ilikuabmbv sana !yan ten akawa anaongea anasikitika sana sana !nilicheka sana! mie sijawah amini waganga! na ninavyopenda kucheka atanifukuza mara 1!
MPAKA hapo umenielewa...thanks....
 
Linapokuja suala la pesa wanaume huwa wanatusaidia kuihubiri 50 kwa 50 wenyewe. Kumbe mnaitaka eeeh!! Basi muiteeege na ikija suala la kuosha vyombo,kuogesha watoto,kudeki nk.


Ila suala la ndoa linajengwa na wote wawili, na manachofanya ni kwa ustawi wa familia yenu. Hivyo tuache kuwa wabinafsi kila mtu afanye nafasi yake. Mwanamke fanya kwa nafasi yako halikadhalika mume pia. Ukishaanza tu na umimi ktk ndoa tayari ni doa hilo.
 
Hata hiyo 50% tunawaonea tu, jukumu la kutunza na kuhudumia familia ni la mwanaume. Biblia ikaandikwa utakula kwa jasho...wife ana kazi lakini sitegemei kumpa jukumu la familia.
Mkeo ana raha sana kama ulichokiandika hapa ndicho kinachofanyika huko dah!!!!.....
Unastahili kuitwa mwanaume hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni pale mwanaume anapokhimiza utoe 50% ya budget yenu ya ndani, hapo si umeshajiweka kuwa unaishi na co-partner? Baada ya hapo unaamka asubuhi unategemea utandikiwe kitanda na boxers zako kule bafuni zifuliwe.

Kama mke mambo yake yake yakienda vibaya si unamuweka kwenye hatari ya kupata kidume cha kumpa ile 50% ambayo unaitegemea?

Kama unataka kuweka heshima ya ndoa ndani jitume kama mwanaume kwanza pesa yetu ni ya chumvi na mchuzi mix.
Nijuavyo mimi majukumu ya familia huwa ni ya mwanaume ila mwanamke anaweza kuyafanya kwa kupenda yeye mwenyewe siyo kulazimishwa Me too engine ya moyo wangu
 
Mkeo ana raha sana kama ulichokiandika hapa ndicho kinachofanyika huko dah!!!!.....
Unastahili kuitwa mwanaume hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app


Nna makandokando yangu ila kwenye hilo namshukuru Mungu ameniwezesha.

Toka nilipobadili tabia kuchukua majukumu yote kwa ukaribu, hata amani ndani ya nyumba unaiona. Ndoa inafuraha, wife ana amani japo tunaonana weekend tu.

Ukimjali mwanamke na kutatua mahitaji yake, lazima aonyeshe ushirikiano..na hapo ndio furaha ya familia inapoanzia.

Tatizo sie wanaume mipango ya kando inatugharimu na kusahau majukumu ya msingi nyumbani.
 
Nna makandokando yangu ila kwenye hilo namshukuru Mungu ameniwezesha.

Toka nilipobadili tabia kuchukua majukumu yote kwa ukaribu, hata amani ndani ya nyumba unaiona. Ndoa inafuraha, wife ana amani japo tunaonana weekend tu.

Ukimjali mwanamke na kutatua mahitaji yake, lazima aonyeshe ushirikiano..na hapo ndio furaha ya familia inapoanzia.

Tatizo sie wanaume mipango ya kando inatugharimu na kusahau majukumu ya msingi nyumbani.



UNAJITAMBUA!
 
Hivi kama mwanamke ni pambo la nyumba mbona kina Wema,Wolper,Gigi money hawaolewi na ni mapambo haswaaaa

Hizi akili zenu za kutaka tuwahudumie kila kitu na kitandani tuwaridhishe pia hizo ndoa mtakua mnazisikia tu kwa wenzenu


[QUOTE="Sky Eclat, post: 22320009, member: 106478"
mwanamke ni pambo la nyumba akipendeza hata wewe roho yako inaridhika. Mwanaume anaejali majukumu yake unampa heshima kama uliyokuwa unampa baba yako ukiwa bado kigoli nyumbani kwenu[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom