Cucciolo mia
Member
- Nov 1, 2022
- 75
- 138
Media nazo kweli wamesomea, wakiamua kuuuza Habari. The guy "hajapotea", ni hajarudi nyumbani and the wife is used to it. Shida ni nyie na ma camera yenu mwenzenu ashajizoelea hayo maisha! Yuko huko anakula kuku kwa mrija na pisi kali mke atulie alee watoto aachane na media au aachane na huyo mwanaume, kusema kwenye media haitombadilisha. Kesi za wanaume wa hivi ni nyingi me hata sioni habari hapa.Kesi yake ni tofauti kwakuwa last time 'alipotea' kwa muda mrefu na this time imetokea hivyo tena!
Kisheria mtu anatangazwa kupotea baada ya kutoonekana kwake, kwa jamaa zake ama marafiki baada ya masaa 72 kupita bila taarifa yoyote