sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Enyi familia ya Dkt. Rwakatare nawashauri ushauri wa bure bure bure kabisa, mtafutieni mganga wa JamiiForums nchini Tanzania ndugu Mshana Jr awasaidie kumzindika ndugu yenu la sivyo nawambieni huyu Diwani hapotei hivi hivi.
Mbona alikuwa hapotei mama yake akiwa hai?
Mi nasema mtafuteni mshana mganga wetu sisi Wana JF atawasaidia.
Mbona alikuwa hapotei mama yake akiwa hai?
Mi nasema mtafuteni mshana mganga wetu sisi Wana JF atawasaidia.