KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Humu tumo mkusanyiko wa watu wengi ambao tumeunda jamii hivyo tumesadiki nadharia ya Jamii ambayo ipo katika mfumo wa forum!.
Nitaielezea kidogo jamii ya jamiiforum kwa makundi machache huku nikitoa na mifano ya baadhi ya member hao,here we go.
Wanasiasa wa jamiiforum.
Hawa huongoza katika kuchangia jukwaa la siasa nakuleta mada zenye mlengo wakisiasa,bila shaka hawa itakuwa ni watu wenye umri wa utu uzima ambao maswala ya kisiasa huyaona katika athari zaidi ya umri tofauti na wao.
Mfano Mzee Mwanakijiji.
Wana intelligence.
Tofauti nazamani vichwa katika jukwaa hili au jamii,walikuwa ni wengi hata kupelekea jukwaa la intelligence kuwa lamoto kwa mada kemkem na mijadala ambayo ilikuwa na taarifa za kina. Mfano Habibu B. Anga pamoja na Kiranga huku bila kusahau watu wa upande wapili katika mambo yakiroho Mshana Jr na Karim.
Business man.
Zaidi utawakuta jukwaa la biashara na uchumi wakijadili maswala ya biashara na uchumi.
Mada nyingi huko zimekuwa zikifundisha ama kuuliza maswali au kutoa ushauri n.k
Mfano CONTROLA.
Mapenzi na mahusiano.
Hili ndio moja ya jukwaa lenye wachangiaji wengi zaidi maana nyanja hii nafikiri humgusa kila mtu zaidi zaidi vijana ambao ndio wengi wapo katika hii forum.
Mada za kuachwa na kuacha zimejaa humu,huku visa na Mikasa vya mapenzi vikijaa humu!.. moja ya wachangiaji mahususi wakiwa ni Depal akiwawakirisha jinsia ya kike na KENZY mwenyewe akiwakilisha jinsia ya kiume.
Member wengi katika jukwaa hili utawakuta pia jukwaa la chitchat.
Wachawi wa jamiiforum.
Naomba hii sekta nisiizungumzie Sana niweke tu yule mnaemfahamu Mshana Jr 😂😂.
Madaktari wa jamiiforum.
Hawa hutusaidia katika maswala ya afya kupitia jukwaa la jf doctor. Huko utapata ushauri juu ya matatizo mbalimbali yahusuyo afya.
Mfano Mzizi mkavu na Sky Eclat.
Wasomaji tu.
Hawa zaidi huwa ni wasomaji nasio wachangiaji!,mtu yupo humu miaka nenda rudi lakini id yake bado ina komenti zero na mods nao huzidumaza id izo kwa kuziacha zisomeke "member" nawakati ni wambea walio kubuhu.😎
Hawa wanajijua hakuna cha mfano!.
Wala bata.
Hawa ndo wale member ambao kwao kunywa bia na starehe nyengine ndio kama pumzi zao za kila siku!. Hawa hata macho yao nafikiri yamekaa kilevilevi tupu..😂
Huwakuti siasani,ukiwakuta kwenye mapenzi basi jumbe zao ni fupifupi tu utakuta kaandika "Mtaachana tu!".
Mfano Evelyn Salt 🏃
Watoa likes.
Hawa huwa nawaonaga huwa hawana msimamo na wengine hawajui walifanyalo..!
Sijasema muache la hasha bali muda mwengine mwachekesha!. Unakuta mada mtu kaeleza juu ya kitu fulani so anatokea mtu anapinga hapa utakuta mtu ka like kote kwa hawa watu!.. wengine kitu hakichekeshi unakuta kalike kwa emoj ya kuchekesha!.
Let's be serious unakuta mada ya Tanzia mtu kalike hivi 🤣.
Mfano mkwepu jr na Extrovert.
Wabishi.
Hawa hata sita tag mtu maana watakuja kunibishia na hapa!. Hawa hata kama ulete uthibitisho watakubishia ilimradi ashinde yeye!.
Member wapole.
Hawa zaidi sio wachangiaji sana japo huchangia kiasi hata komenti zao huwa zinaonyesha hulka zao za upole na unyenyekevu. Mfano Me too na mkwepu jf japo huyu kukomenti huwa ni nadra.
Member waliokosa shipa la uvumilivu.
Hawa huumwaga ukweli bila kupindisha na mara nyingi huwa na dukuduku hawezi kukaa bila chochote kitu Evelyn Salt utawataja wenzako ila njooni taratibu waku..😂
List bado inaendelea...
Nitaielezea kidogo jamii ya jamiiforum kwa makundi machache huku nikitoa na mifano ya baadhi ya member hao,here we go.
Wanasiasa wa jamiiforum.
Hawa huongoza katika kuchangia jukwaa la siasa nakuleta mada zenye mlengo wakisiasa,bila shaka hawa itakuwa ni watu wenye umri wa utu uzima ambao maswala ya kisiasa huyaona katika athari zaidi ya umri tofauti na wao.
Mfano Mzee Mwanakijiji.
Wana intelligence.
Tofauti nazamani vichwa katika jukwaa hili au jamii,walikuwa ni wengi hata kupelekea jukwaa la intelligence kuwa lamoto kwa mada kemkem na mijadala ambayo ilikuwa na taarifa za kina. Mfano Habibu B. Anga pamoja na Kiranga huku bila kusahau watu wa upande wapili katika mambo yakiroho Mshana Jr na Karim.
Business man.
Zaidi utawakuta jukwaa la biashara na uchumi wakijadili maswala ya biashara na uchumi.
Mada nyingi huko zimekuwa zikifundisha ama kuuliza maswali au kutoa ushauri n.k
Mfano CONTROLA.
Mapenzi na mahusiano.
Hili ndio moja ya jukwaa lenye wachangiaji wengi zaidi maana nyanja hii nafikiri humgusa kila mtu zaidi zaidi vijana ambao ndio wengi wapo katika hii forum.
Mada za kuachwa na kuacha zimejaa humu,huku visa na Mikasa vya mapenzi vikijaa humu!.. moja ya wachangiaji mahususi wakiwa ni Depal akiwawakirisha jinsia ya kike na KENZY mwenyewe akiwakilisha jinsia ya kiume.
Member wengi katika jukwaa hili utawakuta pia jukwaa la chitchat.
Wachawi wa jamiiforum.
Naomba hii sekta nisiizungumzie Sana niweke tu yule mnaemfahamu Mshana Jr 😂😂.
Madaktari wa jamiiforum.
Hawa hutusaidia katika maswala ya afya kupitia jukwaa la jf doctor. Huko utapata ushauri juu ya matatizo mbalimbali yahusuyo afya.
Mfano Mzizi mkavu na Sky Eclat.
Wasomaji tu.
Hawa zaidi huwa ni wasomaji nasio wachangiaji!,mtu yupo humu miaka nenda rudi lakini id yake bado ina komenti zero na mods nao huzidumaza id izo kwa kuziacha zisomeke "member" nawakati ni wambea walio kubuhu.😎
Hawa wanajijua hakuna cha mfano!.
Wala bata.
Hawa ndo wale member ambao kwao kunywa bia na starehe nyengine ndio kama pumzi zao za kila siku!. Hawa hata macho yao nafikiri yamekaa kilevilevi tupu..😂
Huwakuti siasani,ukiwakuta kwenye mapenzi basi jumbe zao ni fupifupi tu utakuta kaandika "Mtaachana tu!".
Mfano Evelyn Salt 🏃
Watoa likes.
Hawa huwa nawaonaga huwa hawana msimamo na wengine hawajui walifanyalo..!
Sijasema muache la hasha bali muda mwengine mwachekesha!. Unakuta mada mtu kaeleza juu ya kitu fulani so anatokea mtu anapinga hapa utakuta mtu ka like kote kwa hawa watu!.. wengine kitu hakichekeshi unakuta kalike kwa emoj ya kuchekesha!.
Let's be serious unakuta mada ya Tanzia mtu kalike hivi 🤣.
Mfano mkwepu jr na Extrovert.
Wabishi.
Hawa hata sita tag mtu maana watakuja kunibishia na hapa!. Hawa hata kama ulete uthibitisho watakubishia ilimradi ashinde yeye!.
Member wapole.
Hawa zaidi sio wachangiaji sana japo huchangia kiasi hata komenti zao huwa zinaonyesha hulka zao za upole na unyenyekevu. Mfano Me too na mkwepu jf japo huyu kukomenti huwa ni nadra.
Member waliokosa shipa la uvumilivu.
Hawa huumwaga ukweli bila kupindisha na mara nyingi huwa na dukuduku hawezi kukaa bila chochote kitu Evelyn Salt utawataja wenzako ila njooni taratibu waku..😂
List bado inaendelea...