Kila kundi la watu zaidi ya watano bac ujue kuna mabadiliko ndani yake
unakumbuka alivyoperfom NEREA?Have been his fun since day 1,he rocks jhoo.!!
Huyo Angel ni mkali roho imeniuma kutoka bac ni mashindano
Tufikie hatua wabongo tuache kujudge mambo kutokana na ushabiki wa watu,tunapoteza vibaji kwa ushabiki maandazi wa miziki ya uswahilini
fonabo OMG ur my star I lov u
wabongo sidhani kama wanakumbuka haya mashndano ya kutafuta vipajiKayumba hmn kitu, unavyomtabili ndivo anavokuja, habadiliki ata kdogo
sana yaaniKatika 5bora wa2 tu ndo wenye kibaji ambao wakikaa vizuri wanaitangaza nch yetu.Fonabo na Calvn hawa watu ni wakari tatizo wabongo ni ngumu kujua!
Huyo Angel ni mkali roho imeniuma kutoka bac ni mashindano
Kumbe wa Angel Merikato tupo wengi😛
Bhado namkumbuka angel......
Roho inaniumaaa...ngoja nkalaleeee
yaani chakushangaza fainali wanaingia malofa hii bss ya kijinga sana ndio maana wanapotea hawa majaji wanakuja na majina ya mfukoni kama mwenyekiti wa ccm bwana wanakera sana
poa ila haya mashndano hayatakuwa na maana kama wasanii wanapotea baada ya kushndaLakini dizaini mshindi kapangwa