Teacher on duty
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 201
- 331
Fonabo ni bonge la msanii...time will tell
ataimba dakika 2 si unajua tenaNlitaka nkalale
Ila Ngoja nmsubir run town
Ana ni impress na style yake ya uchezaji
hahaha ila mpaka leo magufuli kupita mpaka leo naona ni kama ndoto ya kutisha nasubiri kukucheKwa mbali naona kama Frida atapitishwa Mshindi..(style ya magufuri alivyopita )
yapAkishinda kayumba, itakuwa kama ilivyokuwa kwa jumanne idi,.. Tz kweli hatujui watu creative, tuko just kwa watu wanaoimba nyimbo zile zinazopendwa na watu..!!!.. ni maoni yangu tu
msikilize jaman fonabo duhAkishinda kayumba, itakuwa kama ilivyokuwa kwa jumanne idi,.. Tz kweli hatujui watu creative, tuko just kwa watu wanaoimba nyimbo zile zinazopendwa na watu..!!!.. ni maoni yangu tu
Show imepooza kweli, ukumbi umejaa wachovu, nalala.
ataimba dakika 2 si unajua tena
hahaha umenichekeshaBora aimbe hata dakika 2
Unaweza kukuta haimb kabisa
sana level za empireFanabo anatunga, anapanga muziki, anapiga na anaimba. Kweli yupo vizuri