Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Jamani nisaidieni kumshusha Christian bella cjui kanogewa kutuzwa
Huyu jamaa kakosa m5 kweli? Watu kweli wana pesa jamani
Jamani nisaidieni kumshusha Christian bella cjui kanogewa kutuzwa
Jamani nisaidieni kumshusha Christian bella cjui kanogewa kutuzwa
Huyu jamaa kakosa m5 kweli? Watu kweli wana pesa jamani
ila sidhani kama watanzania wanamuelewa my lil broFonabo jembe
Kanikera me nalala
Hakika............Fonabo ana kipaji
Hakika............
Akishindwa dah basi tu
Kayumba anapewa nafasi kubwa ya ushindi. anyway there is no transparency katika hili maana hata idadi ya wanaopiga kura mashabiki hatuifahamu.
Tunasubiri kutangaziwa mshindi tu whether kashinda kihalali or NOT!
Well said mkuu, ushabiki wa waziwazi ni hatari sana. Hii inatengeneza loop ya malalamiko baada ya mshindi kutangazwa na kupoteza imani kwa ambao wangependa kushiriki mashindano haya kwa siku za usoniDalili na ushabiki wa majaji ni hatari sana waige hata kwa nchi zingine siku za fainali huwa hawana mchango wanatulia tu
Huyu mnaijeria anazidiwa na Bella kapiga live yy anaanza kutuwekea cd?
turuuu
Dalili na ushabiki wa majaji ni hatari sana waige hata kwa nchi zingine siku za fainali huwa hawana mchango wanatulia tu