CHIKAMBAKU
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 237
- 21
nimechoka naenda kulala naona wanachelewa kumtaja
Plz tujuzane mshindi nani?
kayumbaaaaaaa oyooooo
Dogo anajua pia dogo ana nyota kaliii.
Daah Mashindano ya Hovyoo
Majaji wa Hovyoo
mshindi wa Hovyoo
Upendeleo wazi wazi hakuna transparency kuanzia kwenye upigaji Kura mpaka kutangazwa mshindi na Majaji wako bias
Ushindi wa kanumba n dalili njema kwa Magufuli kuibuka kidedea jaman
watu wengine ubishi ni laana yenu..sasa pale upendeleo uko wap!? transparency ipi ulitaka? wakat mwingne mue mna-reason cyo kuropoka tu..jaji yupi kakosea na kakosea nn? acha majungu ww