Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Muswada uliosomwa kwa mara ya Kwanza kuhusu sheria ya Uchaguzi umeelekeza wananchi kulipia Kadi ya Mpiga Kura endapo atataka kuihuisha tena.
Hili suala halipo mbali na NIDA ambapo jambo la Kulipishwa wakati wa kukihuisha lipo.
Nini maana ya kuwa Mtanzania endapo hadi kutambuliwa uwepo wake kama raia halali anapaswa kulipia.
Uhuru ulituletea jinamizi la CCM kutunyonya bila huruma.
Hili suala halipo mbali na NIDA ambapo jambo la Kulipishwa wakati wa kukihuisha lipo.
Nini maana ya kuwa Mtanzania endapo hadi kutambuliwa uwepo wake kama raia halali anapaswa kulipia.
Uhuru ulituletea jinamizi la CCM kutunyonya bila huruma.