#COVID19 Faida ya chanjo kwa ujumla wake

HDP

Senior Member
Aug 22, 2015
163
93
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla.

Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame google na kusikiliza clip za wasiojua wenzake sasa anadhani anajua kuliko wenye taaluma yao ya chanjo.

Hao wasiojua pia wanatumia nguvu nyingi ili wasielewe hata wakieleweshwa.

Chanjo yoyote hata ya COVID-19 kwa lugha ya kijamii/kiswahili:-
1. Inaweza kukukinga usipate ugonjwa kwa asilimia kadhaa (hapa inategemeana na ubora wa chanjo/efficacy)
2. Inazuia usipate madhara makubwa hata ukiugua kwa asilimia 100%
3. Inapunguza maambukizi katika jamii:-
  • Kwa kupunguza muda wa kuugua na kueneza ugonjwa.
  • Kwa kutengeneza kinga ya jamii (herd immunity).
4. Inapunguza VIFO kwa kupunguza maambukizi na madhara ya ugonjwa.
 
Kuhusu mazombi vipi ?🤣
zombie_1f9df.png
 
Utaratibu wa ufanyaji kazi (mode of action) wa chanjo hizi za mwendo kasi za corona zina uwezekano mkubwa sana wa kudhoofisha mfumo wa asili wa mwili wa kujilinda na magonjwa. Utanielewa tu, iko hivi:

Seli ya kwanza kabisa ya mtu ilianza kwa muunganiko wa mbegu ya kiume na ile ya kike (zygote). Hii seli ilianza kukua kwa utaratibu wa seli kuzaana (cell multiplication, differantition, and specialization).

Kila chembe hai na isiyo hai katika mwili wa mtu imezalishwa ndani kwa ndani kwa utaratibu nilioutaja hapo juu. Na kila kilichozalishwa ndani ya mtu ni kutokana na maelekezo ya vinasaba ambavyo mtu alivirithi toka kwa baba na mama.

Mwili una utaratibu wa kutunza kumbukumbu ya kila kitu kilichozalishwa ndani kwa ndani na mwili wenyewe. Kwa hiyo kitu chochote ambacho kitauvamia mwili kutoka nje ya mwili ambacho hakikuzalishwa ndani ya mwili kitatambuliwa kama mvamizi (foreign body) na mwili una utaratibu wake wa kuzalisha maaskari (antibodies) ambao kazi yake ni kushambulia wavamizi hawa na kuwaangamiza.

Hiyo ndiyo huitwa kinga ya asili. Ili mwili usije kushambulia vitu vilivyotengenezwa na mwili wenyewe ndiyo maana mwili huweka kumbukumbu ya kila kilichotengenezwa na mwili wenyewe! Vinginevyo mwili ungeweza kujitafuna wenyewe!!

Maelekezo yote ya kitu gani kitengenezwe kwa wakati gani yote yako ndani ya seli yenyewe kwenye vinasaba.
Kwa utaratibu wa chanjo za mRNA, kwa mara ya kwanza mwili unarubuniwa kutengeneza kinga ya mwili kwa maelekezo toka nje ya mwili na yasiyotoka kwenye vinasaba ya mtu.

Iko hivi: Hiyo chanjo ya mRNA ni sehema ya vinasaba vya corona vilivyobeba maelekezo namna ya kutengeneza "miiba ya corona" ambayo hutumika kuisaidia corona kupenya kwenye seli ya mtu vijulikanavyo kama spike protein. Vikiingizwa kwenye seli ya mtu, seli itadhani kuwa haya ni maelekezo kutoka kwenye vinasaba vyake (wakati siyo), na seli itaanza utaratibu wa kutekeleza hayo maelekezo yaliyobebwa na mRNA na kutengengeneza hiyo miiba ya corona (spike protein).

Kumbuka kuwa hapo kabla seli haijawahi kutengeneza hiyo miiba ya corona, kwa hiyo haina kumbukumbu hiyo. Kwa hiyo japokuwa hiyo miiba imetengenezwa ndani ya seli, lakini kwa kuwa hakuna kumbukumbu ya utengenezaji wa miiba hiyo kabla, hiyo miiba iliyotengenezwa sasa itahesabika kama mvamizi, na mwili utaanza kutengeneza maaskari (antibodies) wa kushambulia miiba hiyo, hiyo ndiyo kinga itakayotengenezwa dhidi ya sehemu hiyo ya corona.

Kwa hiyo inatazamiwa kuwa mwili utakuwa umejifunza kutengeneza maaskari dhidi ya corona kwa kuwa corona huwa na miiba hiyo. Siku corona mwenyewe akivamia maaskari watakuwa tayari kutengenezwa na kumshambulia!! Hayo ndiyo matarajio!!

Lakini katika hali halisi haiwi hivyo kwa sababu baada ya mwili kuwa umetengeneza hiyo miiba ya corona kwa mara ya kwanza kwa maelekezo toka nje ya mwili, mwili uliweka pia kumbukumbu kuwa hiyo miiba ni sehemu ya mwili wa mtu maana imezalishwa ndani ya mwili na haipaswi kuchukuliwa kama mvamizi!! Mwanzo ilihesabika kama mvamizi maana hakukuwepo kumbukumbu ndani ya mwili ya utengenezaji huo kabla. Lakini kwa sasa mwili una kumbukumbu ya utengenezaji wa sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo corona akiingia mwilini sasa ile miiba yake haitashambuliwa na maaskari wa mwili maana itahesabika kama sehemu halali iliyotengenezwa ndani ya seli yenyewe. Hii ndiyo sababu hata aliyechanjwa anaweza kuambukizwa!!

Watengenezaji wa chanjo za mRNA wanayajua yote haya !! Ndiyo maana hawakatai ukweli kuwa chanjo haizuii usiambukizwe!! Ndiyo maana kila baada ya muda fulani aliyechanjwa lazima achanjwe tena ili ku-boost kinga yake iliyolemazwa!! Maisha yake yote ataishi kwa kuchomwa chanjo za ku-boost kinga yake!! Ni kilema cha maisha cha kulemaa kwa mfumo wa asili wa kinga ya mwili!!

Sasa utajiuliza, kama wanajua hivyo kwa nini wanaikazania sana hii chanjo? Jibu ni kuwa kwao hii chanjo ina manufaa mawili makubwa: Kwanza ni fursa ya kuwaingizia watu microchip kwa ajili ya kuwafuatilia vilivyo na kuwasajili kwenye mfumo mpya wa ulimwengu yaani New world order. Pili chanjo ni biashara kubwa itakayohamisha kabisa uchumi wa mataifa na kuwekwa mikononi mwa watu wachache ambao itawarahisishia kuitawala dunia baada ya mataifa kufilisika kabisa!! Hapo ndipo ujio wa mpinga kristo utakapokuwa dhahiri. Kinachoendelea na maandalizi yake! Chanjo ni maandalizi ya mfumo wa utawala wa mpinga kristo!!
 
Utaratibu wa ufanyaji kazi (mode of action) wa chanjo hizi za mwendo kasi za corona zina uwezekano mkubwa sana wa kudhoofisha mfumo wa asili wa mwili wa kujilinda na magonjwa. Utanielewa tu, iko hivi...
Una hoja ila sijui kama wengi watakuelewa tokana na kwamba nyuma ya chanjo hizi za chap chap wapo wazungu. Nami nina shaka na chanjo hizi ila nafanya hivyo kama mtu binafsi badala ya kuhamasisha wengine kuwa na msimamo kama wangu.
 
Akili za mwafrika na sayansi wapi na wapi?
Hakuna ugunduzi wowote alofanya mwafrika huku Africa kuhusu chanjo yoyote Ila kukosoa tu vitu vikishagunduliwa.
Pigeni nyungu maana ndipo akili zilipoishia.
Waafrika wote wangekuwa na mawazo mgando kama yako, ungekuwa umesema ukweli kwenye kuonyesha kukata tamaa na ujinga wako. Kasome ujielimishe badala ya kuonyesha ujinga tena wa kizembe na kitoto. Kasome historia ya Misri kabla ya kutwaliwa na waarabu uone waswahili tena weusi sana waitwao wanubi au nubians walivyojenga pyramids ambazo hadi leo hakuna mwanasayansi anaweza kujenga hata robo yake. Mbona wamegundua mbegu nyingi. Hapa sijaongelea Waafrika waliopelekwa utumwani marekani. Hebu soma hapa japo kidogo american black inventorss - Sök på Google
 
Utaratibu wa ufanyaji kazi (mode of action) wa chanjo hizi za mwendo kasi za corona zina uwezekano mkubwa sana wa kudhoofisha mfumo wa asili wa mwili wa kujilinda na magonjwa. Utanielewa tu, iko hivi:
Seli ya kwanza kabisa ya mtu ilianza kwa muunganiko wa mbegu ya kiume na ile ya kike (zygote). Hii seli ilianza kukua kwa utaratibu wa seli kuzaana (cell multiplication, differantition, and specialization). Kila chembe hai na isiyo hai katika mwili wa mtu imezalishwa ndani kwa ndani kwa utaratibu nilioutaja hapo juu. Na kila kilichozalishwa ndani ya mtu ni kutokana na maelekezo ya vinasaba ambavyo mtu alivirithi toka kwa baba na mama.
Mwili una utaratibu wa kutunza kumbukumbu ya kila kitu kilichozalishwa ndani kwa ndani na mwili wenyewe. Kwa hiyo kitu chochote ambacho kitauvamia mwili kutoka nje ya mwili ambacho hakikuzalishwa ndani ya mwili kitatambuliwa kama mvamizi (foreign body) na mwili una utaratibu wake wa kuzalisha maaskari (antibodies) ambao kazi yake ni kushambulia wavamizi hawa na kuwaangamiza. Hiyo ndiyo huitwa kinga ya asili. Ili mwili usije kushambulia vitu vilivyotengenezwa na mwili wenyewe ndiyo maana mwili huweka kumbukumbu ya kila kilichotengenezwa na mwili wenyewe! Vinginevyo mwili ungeweza kujitafuna wenyewe!! Maelekezo yote ya kitu gani kitengenezwe kwa wakati gani yote yako ndani ya seli yenyewe kwenye vinasaba.
Kwa utaratibu wa chanjo za mRNA, kwa mara ya kwanza mwili unarubuniwa kutengeneza kinga ya mwili kwa maelekezo toka nje ya mwili na yasiyotoka kwenye vinasaba ya mtu. Iko hivi: Hiyo chanjo ya mRNA ni sehema ya vinasaba vya corona vilivyobeba maelekezo namna ya kutengeneza "miiba ya corona" ambayo hutumika kuisaidia corona kupenya kwenye seli ya mtu vijulikanavyo kama spike protein. Vikiingizwa kwenye seli ya mtu, seli itadhani kuwa haya ni maelekezo kutoka kwenye vinasaba vyake (wakati siyo), na seli itaanza utaratibu wa kutekeleza hayo maelekezo yaliyobebwa na mRNA na kutengengeneza hiyo miiba ya corona (spike protein). Kumbuka kuwa hapo kabla seli haijawahi kutengeneza hiyo miiba ya corona, kwa hiyo haina kumbukumbu hiyo. Kwa hiyo japokuwa hiyo miiba imetengenezwa ndani ya seli, lakini kwa kuwa hakuna kumbukumbu ya utengenezaji wa miiba hiyo kabla, hiyo miiba iliyotengenezwa sasa itahesabika kama mvamizi, na mwili utaanza kutengeneza maaskari (antibodies) wa kushambulia miiba hiyo, hiyo ndiyo kinga itakayotengenezwa dhidi ya sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo inatazamiwa kuwa mwili utakuwa umejifunza kutengeneza maaskari dhidi ya corona kwa kuwa corona huwa na miiba hiyo. Siku corona mwenyewe akivamia maaskari watakuwa tayari kutengenezwa na kumshambulia!! Hayo ndiyo matarajio!!
Lakini katika hali halisi haiwi hivyo kwa sababu baada ya mwili kuwa umetengeneza hiyo miiba ya corona kwa mara ya kwanza kwa maelekezo toka nje ya mwili, mwili uliweka pia kumbukumbu kuwa hiyo miiba ni sehemu ya mwili wa mtu maana imezalishwa ndani ya mwili na haipaswi kuchukuliwa kama mvamizi!! Mwanzo ilihesabika kama mvamizi maana hakukuwepo kumbukumbu ndani ya mwili ya utengenezaji huo kabla. Lakini kwa sasa mwili una kumbukumbu ya utengenezaji wa sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo corona akiingia mwilini sasa ile miiba yake haitashambuliwa na maaskari wa mwili maana itahesabika kama sehemu halali iliyotengenezwa ndani ya seli yenyewe. Hii ndiyo sababu hata aliyechanjwa anaweza kuambukizwa!! Watengenezaji wa chanjo za mRNA wanayajua yote haya !! Ndiyo maana hawakatai ukweli kuwa chanjo haizuii usiambukizwe!! Ndiyo maana kila baada ya muda fulani aliyechanjwa lazima achanjwe tena ili ku-boost kinga yake iliyolemazwa!! Maisha yake yote ataishi kwa kuchomwa chanjo za ku-boost kinga yake!! Ni kilema cha maisha cha kulemaa kwa mfumo wa asili wa kinga ya mwili!!
Sasa utajiuliza, kama wanajua hivyo kwa nini wanaikazania sana hii chanjo? Jibu ni kuwa kwao hii chanjo ina manufaa mawili makubwa: Kwanza ni fursa ya kuwaingizia watu microchip kwa ajili ya kuwafuatilia vilivyo na kuwasajili kwenye mfumo mpya wa ulimwengu yaani New world order. Pili chanjo ni biashara kubwa itakayohamisha kabisa uchumi wa mataifa na kuwekwa mikononi mwa watu wachache ambao itawarahisishia kuitawala dunia baada ya mataifa kufilisika kabisa!! Hapo ndipo ujio wa mpinga kristo utakapokuwa dhahiri. Kinachoendelea na maandalizi yake! Chanjo ni maandalizi ya mfumo wa utawala wa mpinga kristo!!

mimi sita chanja kwa sababu ya imani yangu basi
 
Utaratibu wa ufanyaji kazi (mode of action) wa chanjo hizi za mwendo kasi za corona zina uwezekano mkubwa sana wa kudhoofisha mfumo wa asili wa mwili wa kujilinda na magonjwa. Utanielewa tu, iko hivi:
Seli ya kwanza kabisa ya mtu ilianza kwa muunganiko wa mbegu ya kiume na ile ya kike (zygote). Hii seli ilianza kukua kwa utaratibu wa seli kuzaana (cell multiplication, differantition, and specialization). Kila chembe hai na isiyo hai katika mwili wa mtu imezalishwa ndani kwa ndani kwa utaratibu nilioutaja hapo juu. Na kila kilichozalishwa ndani ya mtu ni kutokana na maelekezo ya vinasaba ambavyo mtu alivirithi toka kwa baba na mama.
Mwili una utaratibu wa kutunza kumbukumbu ya kila kitu kilichozalishwa ndani kwa ndani na mwili wenyewe. Kwa hiyo kitu chochote ambacho kitauvamia mwili kutoka nje ya mwili ambacho hakikuzalishwa ndani ya mwili kitatambuliwa kama mvamizi (foreign body) na mwili una utaratibu wake wa kuzalisha maaskari (antibodies) ambao kazi yake ni kushambulia wavamizi hawa na kuwaangamiza. Hiyo ndiyo huitwa kinga ya asili. Ili mwili usije kushambulia vitu vilivyotengenezwa na mwili wenyewe ndiyo maana mwili huweka kumbukumbu ya kila kilichotengenezwa na mwili wenyewe! Vinginevyo mwili ungeweza kujitafuna wenyewe!! Maelekezo yote ya kitu gani kitengenezwe kwa wakati gani yote yako ndani ya seli yenyewe kwenye vinasaba.
Kwa utaratibu wa chanjo za mRNA, kwa mara ya kwanza mwili unarubuniwa kutengeneza kinga ya mwili kwa maelekezo toka nje ya mwili na yasiyotoka kwenye vinasaba ya mtu. Iko hivi: Hiyo chanjo ya mRNA ni sehema ya vinasaba vya corona vilivyobeba maelekezo namna ya kutengeneza "miiba ya corona" ambayo hutumika kuisaidia corona kupenya kwenye seli ya mtu vijulikanavyo kama spike protein. Vikiingizwa kwenye seli ya mtu, seli itadhani kuwa haya ni maelekezo kutoka kwenye vinasaba vyake (wakati siyo), na seli itaanza utaratibu wa kutekeleza hayo maelekezo yaliyobebwa na mRNA na kutengengeneza hiyo miiba ya corona (spike protein). Kumbuka kuwa hapo kabla seli haijawahi kutengeneza hiyo miiba ya corona, kwa hiyo haina kumbukumbu hiyo. Kwa hiyo japokuwa hiyo miiba imetengenezwa ndani ya seli, lakini kwa kuwa hakuna kumbukumbu ya utengenezaji wa miiba hiyo kabla, hiyo miiba iliyotengenezwa sasa itahesabika kama mvamizi, na mwili utaanza kutengeneza maaskari (antibodies) wa kushambulia miiba hiyo, hiyo ndiyo kinga itakayotengenezwa dhidi ya sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo inatazamiwa kuwa mwili utakuwa umejifunza kutengeneza maaskari dhidi ya corona kwa kuwa corona huwa na miiba hiyo. Siku corona mwenyewe akivamia maaskari watakuwa tayari kutengenezwa na kumshambulia!! Hayo ndiyo matarajio!!
Lakini katika hali halisi haiwi hivyo kwa sababu baada ya mwili kuwa umetengeneza hiyo miiba ya corona kwa mara ya kwanza kwa maelekezo toka nje ya mwili, mwili uliweka pia kumbukumbu kuwa hiyo miiba ni sehemu ya mwili wa mtu maana imezalishwa ndani ya mwili na haipaswi kuchukuliwa kama mvamizi!! Mwanzo ilihesabika kama mvamizi maana hakukuwepo kumbukumbu ndani ya mwili ya utengenezaji huo kabla. Lakini kwa sasa mwili una kumbukumbu ya utengenezaji wa sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo corona akiingia mwilini sasa ile miiba yake haitashambuliwa na maaskari wa mwili maana itahesabika kama sehemu halali iliyotengenezwa ndani ya seli yenyewe. Hii ndiyo sababu hata aliyechanjwa anaweza kuambukizwa!! Watengenezaji wa chanjo za mRNA wanayajua yote haya !! Ndiyo maana hawakatai ukweli kuwa chanjo haizuii usiambukizwe!! Ndiyo maana kila baada ya muda fulani aliyechanjwa lazima achanjwe tena ili ku-boost kinga yake iliyolemazwa!! Maisha yake yote ataishi kwa kuchomwa chanjo za ku-boost kinga yake!! Ni kilema cha maisha cha kulemaa kwa mfumo wa asili wa kinga ya mwili!!
Sasa utajiuliza, kama wanajua hivyo kwa nini wanaikazania sana hii chanjo? Jibu ni kuwa kwao hii chanjo ina manufaa mawili makubwa: Kwanza ni fursa ya kuwaingizia watu microchip kwa ajili ya kuwafuatilia vilivyo na kuwasajili kwenye mfumo mpya wa ulimwengu yaani New world order. Pili chanjo ni biashara kubwa itakayohamisha kabisa uchumi wa mataifa na kuwekwa mikononi mwa watu wachache ambao itawarahisishia kuitawala dunia baada ya mataifa kufilisika kabisa!! Hapo ndipo ujio wa mpinga kristo utakapokuwa dhahiri. Kinachoendelea na maandalizi yake! Chanjo ni maandalizi ya mfumo wa utawala wa mpinga kristo!!


Chanjo ya Johnson &Johnson ni aina ya mRNA au ni viral vector??!
 
Utaratibu wa ufanyaji kazi (mode of action) wa chanjo hizi za mwendo kasi za corona zina uwezekano mkubwa sana wa kudhoofisha mfumo wa asili wa mwili wa kujilinda na magonjwa. Utanielewa tu, iko hivi:
Seli ya kwanza kabisa ya mtu ilianza kwa muunganiko wa mbegu ya kiume na ile ya kike (zygote). Hii seli ilianza kukua kwa utaratibu wa seli kuzaana (cell multiplication, differantition, and specialization). Kila chembe hai na isiyo hai katika mwili wa mtu imezalishwa ndani kwa ndani kwa utaratibu nilioutaja hapo juu. Na kila kilichozalishwa ndani ya mtu ni kutokana na maelekezo ya vinasaba ambavyo mtu alivirithi toka kwa baba na mama.
Mwili una utaratibu wa kutunza kumbukumbu ya kila kitu kilichozalishwa ndani kwa ndani na mwili wenyewe. Kwa hiyo kitu chochote ambacho kitauvamia mwili kutoka nje ya mwili ambacho hakikuzalishwa ndani ya mwili kitatambuliwa kama mvamizi (foreign body) na mwili una utaratibu wake wa kuzalisha maaskari (antibodies) ambao kazi yake ni kushambulia wavamizi hawa na kuwaangamiza. Hiyo ndiyo huitwa kinga ya asili. Ili mwili usije kushambulia vitu vilivyotengenezwa na mwili wenyewe ndiyo maana mwili huweka kumbukumbu ya kila kilichotengenezwa na mwili wenyewe! Vinginevyo mwili ungeweza kujitafuna wenyewe!! Maelekezo yote ya kitu gani kitengenezwe kwa wakati gani yote yako ndani ya seli yenyewe kwenye vinasaba.
Kwa utaratibu wa chanjo za mRNA, kwa mara ya kwanza mwili unarubuniwa kutengeneza kinga ya mwili kwa maelekezo toka nje ya mwili na yasiyotoka kwenye vinasaba ya mtu. Iko hivi: Hiyo chanjo ya mRNA ni sehema ya vinasaba vya corona vilivyobeba maelekezo namna ya kutengeneza "miiba ya corona" ambayo hutumika kuisaidia corona kupenya kwenye seli ya mtu vijulikanavyo kama spike protein. Vikiingizwa kwenye seli ya mtu, seli itadhani kuwa haya ni maelekezo kutoka kwenye vinasaba vyake (wakati siyo), na seli itaanza utaratibu wa kutekeleza hayo maelekezo yaliyobebwa na mRNA na kutengengeneza hiyo miiba ya corona (spike protein). Kumbuka kuwa hapo kabla seli haijawahi kutengeneza hiyo miiba ya corona, kwa hiyo haina kumbukumbu hiyo. Kwa hiyo japokuwa hiyo miiba imetengenezwa ndani ya seli, lakini kwa kuwa hakuna kumbukumbu ya utengenezaji wa miiba hiyo kabla, hiyo miiba iliyotengenezwa sasa itahesabika kama mvamizi, na mwili utaanza kutengeneza maaskari (antibodies) wa kushambulia miiba hiyo, hiyo ndiyo kinga itakayotengenezwa dhidi ya sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo inatazamiwa kuwa mwili utakuwa umejifunza kutengeneza maaskari dhidi ya corona kwa kuwa corona huwa na miiba hiyo. Siku corona mwenyewe akivamia maaskari watakuwa tayari kutengenezwa na kumshambulia!! Hayo ndiyo matarajio!!
Lakini katika hali halisi haiwi hivyo kwa sababu baada ya mwili kuwa umetengeneza hiyo miiba ya corona kwa mara ya kwanza kwa maelekezo toka nje ya mwili, mwili uliweka pia kumbukumbu kuwa hiyo miiba ni sehemu ya mwili wa mtu maana imezalishwa ndani ya mwili na haipaswi kuchukuliwa kama mvamizi!! Mwanzo ilihesabika kama mvamizi maana hakukuwepo kumbukumbu ndani ya mwili ya utengenezaji huo kabla. Lakini kwa sasa mwili una kumbukumbu ya utengenezaji wa sehemu hiyo ya corona. Kwa hiyo corona akiingia mwilini sasa ile miiba yake haitashambuliwa na maaskari wa mwili maana itahesabika kama sehemu halali iliyotengenezwa ndani ya seli yenyewe. Hii ndiyo sababu hata aliyechanjwa anaweza kuambukizwa!! Watengenezaji wa chanjo za mRNA wanayajua yote haya !! Ndiyo maana hawakatai ukweli kuwa chanjo haizuii usiambukizwe!! Ndiyo maana kila baada ya muda fulani aliyechanjwa lazima achanjwe tena ili ku-boost kinga yake iliyolemazwa!! Maisha yake yote ataishi kwa kuchomwa chanjo za ku-boost kinga yake!! Ni kilema cha maisha cha kulemaa kwa mfumo wa asili wa kinga ya mwili!!
Sasa utajiuliza, kama wanajua hivyo kwa nini wanaikazania sana hii chanjo? Jibu ni kuwa kwao hii chanjo ina manufaa mawili makubwa: Kwanza ni fursa ya kuwaingizia watu microchip kwa ajili ya kuwafuatilia vilivyo na kuwasajili kwenye mfumo mpya wa ulimwengu yaani New world order. Pili chanjo ni biashara kubwa itakayohamisha kabisa uchumi wa mataifa na kuwekwa mikononi mwa watu wachache ambao itawarahisishia kuitawala dunia baada ya mataifa kufilisika kabisa!! Hapo ndipo ujio wa mpinga kristo utakapokuwa dhahiri. Kinachoendelea na maandalizi yake! Chanjo ni maandalizi ya mfumo wa utawala wa mpinga kristo!!
Nimeupenda uzi wako, ila ungeishia hapo tu kwenye sababu za kutengeneza chanjo na usingeingizia habari za dini, andiko hili lingekuwa bora zaidi.
 
Hayo ndiyo mawazo ,ila angalia usiitwe kwenye kamati ya maadili na Madaraka ya bunge kwani siku hizi hawana kazi ya kufanya zaidi ya kuita Kila wanayemtaka.
Akiitwa aende na vitabu vyote vya primary, secondary na asisahau vitabu vya Kiswahili
 
Ukweli ndio huo lakini tukubali tu Wajinga ndio waliwao. Kwa kuwa mzungu ametengeneza chanjo na wakachanjwa, basi ni salama.

Unajua kila kilichomo kwenye chanjo yao ndicho kilicho kwenye chanjo ya kila taifa?

Unajua ni namna gani hao weupe wanagomea chanjo na makandokando yake?

Unajua kwamba hata taarifa za mitandaoni zinachakachuriwa, kwa maana ya kwamba zile zisizopepelea utashi wa wenye chanjo mfano kuonyesha athari za chanjo zinapigwa panga?

Elimu zetu zitusaidie kwa upana zaidi ya kusoma na kuandika, kama wale madalali wa chanjo.

Siku njema kiongozi




 
Back
Top Bottom