kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
- Thread starter
- #21
Hizo zote zimekubali ila ukuaji wake ndo umetofautiana nilipanda siku moja lakini zipo nilizoanza kula baada ya miezi 10 na zingine mpaka mwaka na nusuUpo sehemu gani? maana sidhani kama aina hizi zote za migomba zinaweza kustawi sehemu zote Tanzania