Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

Nashukuru kwa jibu murua mkuu AGRIWORTH TZ ubarikiwe sana
 
Hujajibu swala la maji na madawa
 
Naona swali langu limekwepwa,

Nauliza kama mnayo mashamba ya kuuza, mnao utaalamu wa kulima na mnalo soko.

Why msilime nyinyi hayo mashamba mkapata mavuno muuze kwenye hayo masoko?
 
Habari janvini
Kama Bado hujasajiri kampuni.
Karibu ntakusajiria kwa chapu. Bei nzuri kabisa.
Pia huduma ya
- kuandaa mahesabu ya kodi
-mchanganuo wa Biashara
- kusaidia kupata leseni ya biashara
Ushauri bure
Karibuni nyote


 


Habari yako mkuu @ Shark. Ni kweli mashamba yapo, wataalam tunao na soko tunalo.
Katika ufanyaji wa majukumu Kuna kitu kinaitwa 'Division of labour'. Sisi majukumu yetu
Ni hayo Kama kampuni.
 
hujajibu swala la maji na madawa


Karibu Tena mkuu @ Danpol. Ufafanuzi kuhusu matumizi ya maji kwenye zao la parachichi
Ni kitu ambacho hakiepukiki. . Ndio maana tunatoa ushauri kuwa upandaji wake ufanyike
msimu wa mvua ili kupunguza gharama na muda wa kumwagilia. Pia madawa ya kuzuia uharibifu
wa miche na matunda yake hupatikana kwenye maduka ya madawa ya kilimo. Gharama juu ya maji na madawa
hutegemea ukubwa wa Shamba, aina ya ugonjwa ambao umeshambulia Miche na Matunda yake, teknolojia itumikayo( ya kisasa au zamani) katika umwagiliaji Pamoja na umbali kilipo chanzo Cha maji na shamba lilipo.
 
Pia katika parachichi nimesikia kuwa kuna hawa nyuki wadogo ambao hawana madhara mara nyingi inashauriwa wafugwe katika miparachichi.
 
Mkuu weka namba za simu tufanye mawasiliano.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…