mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,000
- 1,080
Ila si bora kuliko hiyo infinix. Je hi a02s na a10s ipi kaliI'm theory ndio, sema kiuhalisia usitegemee maajabu, soc yake ni low end sana, haitakuwa na nguvu ya ku tumia feature nyingi za Gcam, angalau SD 600 series inahitajika.
Zinafanana tu, hio A02 ni A11 imekuwa tu renamed.Ila si bora kuliko hiyo infinix. Je hi a02s na a10s ipi kali
Hiyo chuma ukijichanganya usahau password tu ukija ofisini kwangu nakubamiza 150kHakuna kujiumiza mbona mi natumia simu ya bei ndogo sana japo sio Tecno/Infnix na zipo Tecno/Infnix zenye bei zaidi yake.
Natumia Oppo A3s
Kasema anatumia Tecno WX3, hayo mengine baki nayoWtf niger
Tatizo beiOneplus iko vizuri sana mkuu
Umemeza ukubwa wa bei ndo ubora wa bidhaa ...badilisha mtazamo..Uchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City
Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao
Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City
Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
Kabisa mkuu...... Simu bora iwe na chip ya MTK upuuzi wa karne..... Jamaa anatazama housing ya sim eti eeeeein?!Uchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City
Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao
Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City
Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
Shida ako nimegúndua hujui maana ya high endInfinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .
High end ni kina Sam S21 &Co.. (Flagship)
Mimi nimeshatumia hizo Infnix, Tecno vizuri kabisa lakini amini amini nakwambia hizo ni upupu tu ndio mana nikahama na sina mpango wa kurudi huko
Pia kuna chuma cha Motorola g7 power aseee ni hatar sema vijana wamekalili family ya tecnoSawa mkuu
Hiyo chuma ukijichanganya usahau password tu ukija ofisini kwangu nakubamiza 150k
Nielekeze tafadhali. Mana uelewa wangu ndipo umefikia hapo kwa sasa.Shida ako nimegúndua hujui maana ya high end
tecno, itel na infinix watoto wa baba na mama mmojaHii kauli sitaacha
KgTel, Infinix, Tecno, Itel, ForMe , Leagoo, X-Tigi & Co ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Sijui tutumie lugha gani kuwaambia watu
hii habari nimeiona Tanzaniatech. Kumbe nao ni bure kwenye kuchambua ubora wa simu
Siku moja kipindi natumia tecno nilikua nawacrush sana kwemye forrum yao. Siku moja nikaona mada jamaa anaisifia Tecno Spark K9 dhidi ya Iphone 7 .hii habari nimeiona Tanzaniatech. Kumbe nao ni bure kwenye kuchambua ubora wa simu