Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

likipatikana limbwata kali kuliko yote..nielekezeni namna ya kulipata...for future use..sio saa hii
Tanzania kuna makabila mengi mimi naomba kuuliza kuna aina ngapi za Hii kitu inaitwa Limbwata???
Kwetu ka kabila yetu kuna kitu kinaitwa!!"SHUNTAMA OGENDE OGARUKE"Hii ukipewa unashahau hata JINSIA YAKO!!!
Je kwenu mna nini???Je Limbwata la wapi kali??
 
Mkwe msomi hana muda mchafu,
anajua what is love
na what to hate.

au uliwahi kuona msomi akienda kwa kalumanzila.

Sio wote mkwe. Wapo wasomi ambao bado wanaamini katika hayo mambo. Wengi wao ni wale ambao hawajajitambua pia elimu walizonazo hazijawakomboa.. Namshukuru Mungu kwa kukupa mwongozo mzuri ktk kumlea binti yako kwa mazingira mazuri. Ni kwa neema yake Mungu.
 
limbwata kiuno chako na koni tu
Nilijua nimepewa limbwata kumbe manyago ndo yananizezetesha!!:yo::A S 39::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Back
Top Bottom