Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Sidhan kama limbwata ni nzuri hata liwe takatifu.
Ahahahaa.Limbwata ni zuri sana.Ndilo linalowafanya watu waulize mbona baba na mama fulani hatuwasikii kugombana kila siku wanacheka tu,au mbona hawa wenzetu wanamaendeleo n.k n.k.
Hakuna ndoa isiyohitaji limbwata mie nakuambia vinginevyo ndo mambio ya nyumba ndogo na vidumu kwa wingi. mimisa nitafute kwa wakati wako nikuelekeze kwa kupata Limbwata takatifu
 
Last edited by a moderator:
nitakutafta..
Ahahahaa.Limbwata ni zuri sana.Ndilo linalowafanya watu waulize mbona baba na mama fulani hatuwasikii kugombana kila siku wanacheka tu,au mbona hawa wenzetu wanamaendeleo n.k n.k.
Hakuna ndoa isiyohitaji limbwata mie nakuambia vinginevyo ndo mambio ya nyumba ndogo na vidumu kwa wingi. mimisa nitafute kwa wakati wako nikuelekeze kwa kupata Limbwata takatifu
 
Wanabodi huku Uswazi, Limbwata linasemwa sana katika uhusiano wa mapenzi.
Kutambua mtu amelishwa limbwata siyo rahisi achilia mbali kwamba wengine hawaaamini kabisa.
Hebu tuonyeshe dalili ambazo mtu akiwa nazo zinaashiria kulishwa libwata.
1. Kufikiria mpenzi wako kuliko kitu kingine
2.Kutokuthamini kazi, marafiki na dungu zaidi ya mpenzi wako bila kujali madhara katika maisha.
.......
.......
.......
 
limbwata...!! ndio nini? mimi nimekaa uswahilini muda mrefu ila sijawahi kuona hiyo kitu...
 
Wanabodi huku Uswazi, Limbwata linasemwa sana katika uhusiano wa mapenzi.
Kutambua mtu amelishwa limbwata siyo rahisi achilia mbali kwamba wengine hawaaamini kabisa.
Hebu tuonyeshe dalili ambazo mtu akiwa nazo zinaashiria kulishwa libwata.
1. Kufikiria mpenzi wako kuliko kitu kingine
2.Kutokuthamini kazi, marafiki na dungu zaidi ya mpenzi wako bila kujali madhara katika maisha.

.......
.......
.......

Usipomfanyia hayo Mpenzi/Mke wako, unatarajia nani amfanyie ? Unafahamu madhara yatakayokupata kama akifanyiwa hayo na mtu mwingine ? Kama kumfikiria Mpenzi wangu, kuijali familia, kutoka na Mpenzi/Mke wangu/Mume ni kulishwa limbwata, wacha tu nilihswe mimi.
 
Kuna hadithi nyingi juu ya hii kitu pengine kuna ukweli hasa tukiwa waaminifu ktk kuchangia
Nimeona watu wengine wakiwa na tabia hizi sasa sijui ni akili yao tu au ndio limbwata
  • Mwanaume anamfumania mkewe na hamfanyi kitu chochote
  • Mwanaume huyo kabla hajaoa alikua mchangamfu ie anaonekana mwenye busara lkn baada ya kuoa hasa msichana fuska anashindwa kabisa hata kuisimamia nyumba yake ie anakua hana cha kusema juu ya familia yake na anabuluzwa kama mtoto. Yaani hadi inauma msichana/mwanamke anamtesa sana ktk mapenzi ie huyo mke anakua na wapenzi wa nje kwa wazi kabisa na mwanaume analalamika na baadae kukaa kimya.
  • Mke anakua na safari nyingi zisizokua na msingi na mume anaangalia tu just imagine mke anakwenda sherehekea sikukuu kubwa kama xmas, m/mpya au idd mkoa mwingine na hiyo anaifanya kila wakati lkn mumewe hawezi kumzuia na anabaki kulalamika tu
  • Mme anajua kua mkewe kila atokapo anaenda kwa mabwana zake na iko wazi lkn mwanaume anatazama tu
  • Mke anakwenda bar anakunywa na kulewa huku akiwa na mabwana zake pengine ni vijana wadogo tu lkn mme hafanyi kitu

Hebu wapendwa tushirikishane je wewe hujaiona hii huko uswaz.
 
Kuna hadithi nyingi juu ya hii kitu pengine kuna ukweli hasa tukiwa waaminifu ktk kuchangia
Nimeona watu wengine wakiwa na tabia hizi sasa sijui ni akili yao tu au ndio limbwata
  • Mwanaume anamfumania mkewe na hamfanyi kitu chochote
  • Mwanaume huyo kabla hajaoa alikua mchangamfu ie anaonekana mwenye busara lkn baada ya kuoa hasa msichana fuska anashindwa kabisa hata kuisimamia nyumba yake ie anakua hana cha kusema juu ya familia yake na anabuluzwa kama mtoto. Yaani hadi inauma msichana/mwanamke anamtesa sana ktk mapenzi ie huyo mke anakua na wapenzi wa nje kwa wazi kabisa na mwanaume analalamika na baadae kukaa kimya.
  • Mke anakua na safari nyingi zisizokua na msingi na mume anaangalia tu just imagine mke anakwenda sherehekea sikukuu kubwa kama xmas, m/mpya au idd mkoa mwingine na hiyo anaifanya kila wakati lkn mumewe hawezi kumzuia na anabaki kulalamika tu
  • Mme anajua kua mkewe kila atokapo anaenda kwa mabwana zake na iko wazi lkn mwanaume anatazama tu
  • Mke anakwenda bar anakunywa na kulewa huku akiwa na mabwana zake pengine ni vijana wadogo tu lkn mme hafanyi kitu

Hebu wapendwa tushirikishane je wewe hujaiona hii huko uswaz.

mtu wa design hii lazima kashawekwa sawa na bibie.
 
Hizi ni mawazo tu za watu hamnaga hizo mambo, hawa watoto wa ukanda wa pwani wanakuwa wameandaliwa.
 
Back
Top Bottom