Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Kila analoambiwa na mke wake au mpenzi yeye ni NDIO,anajenga ukweni,anawapenda ndugu za mke kuliko ndugu zake wa kuzaliwa
 
Denial ni mojawapo ya dalili. njoo tukupeleke sumbawanga wakasafishe.

sumbawanga mbali, kwani mikoa hii ya karibu hamna? ila nataka dalili walau tano za waliogewa limbwata nami nianze kujua...
 
kupinga hii hoja kwa kusema hamna kitu kinachoitwa limbwata ni dalili mojawapo kuwa huyu mtu kalishwa hiyo kitu.
 
Hivi wanawake hawapewagwi limbwata jamani? Mnistulie Paw anilishe na mie.
 
Kwanza mnajua limbwata linavyotengenezwa?nimwage hapa au mta ni pm
 
Kwanza mnajua limbwata linavyotengenezwa?nimwage hapa au mta ni pm


hizi ni mojawapo

lingine linawekwa na wanawake kwa kutumia maji waliyojisafishia chini kupikia msosi ili mtakwa wao ale.

na pia kuweka nyama chini na kuzitoa kumpikia mtakwa.
 
Hilo limbwata ni mboga za majani au aina ya samaki?uswazi mnafaidi!mna vyakula vingi kinoma!

Hapo full wanga

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
  • Unapo mwambia kua amepewa Limbwata anaanza kukukimbia, hataki kabisa kuskia hilo.
  • Uki-insist anamwambia mpenzi wake na anakutaja!
CC: The Boss

Hii cc ina maana umepewa limbwata na unahitaji msaada tukusaidie sio? lol
 
Back
Top Bottom