Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Vaislay,

Limbwata ni uchawi/ushirikina kama ulivyo ulozi mwingine. Kama huamini, hata ungesimuliwa usiku kucha hutaelewa!!

Babu DC!!!
sawa mkuu,nakubaliana na hayo japo sijui kiviiileee
 
Limbwata ni Mlenda ukipikwa na kitunguu saumu na mdalasini................................
umesahau,anatumbukizwa mjusi/chura na vingine ambavyo ukigundua ulilishwa kama n mke unamwacha na kumchukia daima
 
Tanzania kuna makabila mengi mimi naomba kuuliza kuna aina ngapi za Hii kitu inaitwa Limbwata???
Kwetu ka kabila yetu kuna kitu kinaitwa!!"SHUNTAMA OGENDE OGARUKE"Hii ukipewa unashahau hata JINSIA YAKO!!!
Je kwenu mna nini???Je Limbwata la wapi kali??
 
Hamna kitu kama hiyo kwetu..., ni dushelele kwa kwenda mbele..
 
Back
Top Bottom