Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Mkwe msomi hana muda mchafu,
anajua what is love
na what to hate.

au uliwahi kuona msomi akienda kwa kalumanzila.

Mie sijambo Mkwe. Hivi kumbe mambo ya Limbwata hufanywa na wale wasio wasomi? Kweli mkwe?
 
Mkwe msomi hana muda mchafu,
anajua what is love
na what to hate.

au uliwahi kuona msomi akienda kwa kalumanzila.

Sio wote mkwe. Wapo wasomi ambao bado wanaamini katika hayo mambo. Wengi wao ni wale ambao hawajajitambua pia elimu walizonazo hazijawakomboa.. Namshukuru Mungu kwa kukupa mwongozo mzuri ktk kumlea binti yako kwa mazingira mazuri. Ni kwa neema yake Mungu.
 
Mkwe msomi hana muda mchafu,
anajua what is love
na what to hate.

au uliwahi kuona msomi akienda kwa kalumanzila.
Dah nashindwa kukubaliana na wewe ila kifanyacho watu waende kwa kalimanzila ni mazingira ya maisha!Kwani hata wasomi wanaenda mfano mdogo ni juu ya kikombe cha babu!je wasomi walienda au??
 
Heshima kwako mkwe.

Sio wote mkwe. Wapo wasomi ambao bado wanaamini katika hayo mambo. Wengi wao ni wale ambao hawajajitambua pia elimu walizonazo hazijawakomboa.. Namshukuru Mungu kwa kukupa mwongozo mzuri ktk kumlea binti yako kwa mazingira mazuri. Ni kwa neema yake Mungu.
 
KakaKiiza kweli hili la kikombe nalo liliwashusha watu hadhi sana
pengine mazingira yanachangia sana,
lakini Mungu anaweza yote mkuu.

Dah nashindwa kukubaliana na wewe ila kifanyacho watu waende kwa kalimanzila ni mazingira ya maisha!Kwani hata wasomi wanaenda mfano mdogo ni juu ya kikombe cha babu!je wasomi walienda au??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom