Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
- Thread starter
- #161
Teh naona kweli unalipigia promo hili.Inategemea na mzazi na mzazi kua na wasiwasi kwa kua wazaz hawalingani kuna wazazi waelewa
na kuna wazazi ambao kidogo ni watata mana huwez kuingilia mapenz ya mtt wako kwa kuwa huwez jua walikokutana na walivoishi mpaka akaja kumleta kwako na kumtambulisha
Maswali yangu yamebaki machache soon nitawakaribisha wadau nao wakuulize machache.
Najua pm huwa unafuatwa saana na kwa umri wako umeshatongozwa pia sana mitaani.
Kuna tofauti gani kati haya matongozo mawili? Tongozo lipi unakuwa confortable kulipa airtime?


ivuga aliuliza