Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
shida ya kwetu uongo mwingi na usanii wazungu wako waziKwa wenzetu ng'ambo online dating ni jambo la kawaida sana ila kwetu linachukuliwa kwa namna tofauti..shida unafikiri ni nini?
Wew, Unauthubutu wa kumwambia mzazi wako baba nimekutana na Daby Facebook,JF, hivyo tunataka kuoana!!!
kuhusu swala la kumwambia mzazi ikifikia unamwambia mlipokutana na mwenzio kama ni fb, kama ni insta au jf