KORBOTO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,848
- 2,447
ulishawahi kutamani id au avatar yoyote hapa jf?Hee na sijakata kucha siku nyingii....
ulishawahi kutamani id au avatar yoyote hapa jf?Hee na sijakata kucha siku nyingii....
ni kitu gani kimekuvutia hasa? avatar au uandishi wake?Ndiyo mkuu kuna hiyo moja daah
Kinila haujakutana nae leo
Ulitamani ungefanya naye nn? nini kilikujia akilini hadi ukajihisi umetamani?Avatar ndiyo cha kwanza pamoja na mawazo na sio uandishi
Mweh mweeh basi ngoja tutaendelea na mikuno badae...Kiliya to Ze eksitent....
Hivi Vale kweli ndiyo umenisahaulisha intaviuu ama kweli wanawake muendelee kuwepo
Haha.Ulitamani ungefanya naye nn? nini kilikujia akilini hadi ukajihisi umetamani?
jibu kwa maslahi ya uma
ingawa umedanganya ila sawa.Haha.
Kwangu mwanamke kama kweli nimempenda huwa siwazi kufanya naye kitu zaidi ya kutamani uwepo wake besides me.
Mengine kama sex ni baadae
Nimekuelewa Vale na kupitia hii nimejifunza pia.Mweh mweeh basi ngoja tutaendelea na mikuno badae...
Back to interview next time wasiliana na muhusika mapema Daby na umwambie mada itahusu nini ili kujua kama yupo comfortable nayo...
Ukiwa comfortable na mada ni rahisi kufunguka zaidi bila kusahau na muda wa muhusika ili awe huru zaidi kuepusha kukatisha katisha
Sijadanganya tena hapo moyo ndiyo umeZungumza kabisa.ingawa umedanganya ila sawa.
ulishawahi kujitengenezea image ya binti kichwani ila ulipokutana naye ikawa ndivyo sivyo?
Ulifanyaje?
ulishawahi kutamani mwanamke bila kumpenda kihivyo unavyosema?Sijadanganya tena hapo moyo ndiyo umeZungumza kabisa.
Nimelipenda hili swali. Binafsi sijawahi kuwa na image ya mwanamke nayemhitaji maana kupenda ni moyo akili inakuongoza tu.
Kwangu nadanganywa na kuona kwanza.
wakati unatongoza ulieleza huo ukweli au ulidanganya?Ndiyo. Tena siyo mara moja.
Inategemea na aina ya mwanamke maana wanatofautiiana. Vyote kudanganya na ukweli nimekuwa navitumia kutegemeana na aina ya mwanamke.wakati unatongoza ulieleza huo ukweli au ulidanganya?
hahahah mi nimeelewa, na wenzangu watakuwa wamekuelewa.Inategemea na aina ya mwanamke maana wanatofautiiana. Vyote kudanganya na ukweli nimekuwa navitumia kutegemeana na aina ya mwanamke.
Kutongoza ni saana. Hivyo Ubunifu ni kitu muhimu saana wewe ni mwanamme utanielewa.
hahahah mi nimeelewa, na wenzangu watakuwa wamekuelewa.
hivi tuseme imetokea leo ni lazima uchague mrembo wakutoka naye humu, utamchagua nani?

huko sasa mkuu KORBOTO unataka nigombane na watu bure. I wish uzi ungekuwa chit-chat niujibu kichitchat.hivi kwenye hichi unachokiita sanaa, yalishawahi kushindikana ukajikuta unahonga ile live live? acha takrimaInategemea na aina ya mwanamke maana wanatofautiiana. Vyote kudanganya na ukweli nimekuwa navitumia kutegemeana na aina ya mwanamke.
Kutongoza ni saana. Hivyo Ubunifu ni kitu muhimu saana wewe ni mwanamme utanielewa.
Kuhonga ili mwanamke anikubali sijawahi maana huwa namsoma mapema (kuhudumia kupo hakuepukik). Labda kuwafanyia assignments enzi hizo sijui nikuhonga nako ila kwangu naona ni kusaidia.hivi kwenye hichi unachokiita sanaa, yalishawahi kushindikana ukajikuta unahonga ile live live? acha takrima