European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
Mkuu, nilikujibu kule kwenye uzi wako kuhusuana na issue ya misaada,nilikwambia kwamba "ukikubali kusaidiwa basi umekubali kuuza Uhuru wako" ni kweli kwamba Tanzania ni sovereign state lkn kwa kuwa huwa tunapokea misaada ya wazungu basi hatuna budi kuyafanya yale wanayoyataka

Pia,ukumbuke kuwa hawa Wazungu wanaifaham Tz kuliko mimi na wewe tuliozaliwa hapa,pengine wanafaham kuwa hata Jiwe hakushinda uchaguzi wa 2015 kwa haki...soon watakuja na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!
 
Mimi nataka tutawaliwe na Wazungu ili tupate maendeleo maana sioni umuhimu wa uhuru tulionao!
 
Kwa harakaharaka wew ni mtu mwenye chuki tu binafsi na unaye mlenga,eidha za ukabila,uchama,ushule au usiasa.kaa jitafakari kwa makini uone kama upo sawa
Sipendi tuishi kwa kutegemea misaada ila sipendi tukatiwe misaada kwa sababu ya ujinga wa mtu mmoja.
 
wapuuzi Hao wanaosambaza kana kwamba kuna wanalopata kutoka ktk hilo bunge LA huko polojo ndio Kazi yenu. Hii nchi yenu acheni umbea mbona yao hatuyasikii Kazi yenu kushadadia tu
 
Nawaza hivyo tu

Maana Bunge ni wawakilishi wa wananchi

Maslahi ya nchi yawekwe mbele...na wajadili vipengele vyote

Au Halmashauri kuu ya Ccm ikae na kuamua
For what purpose! Bado una mawazo ya kutawaliwa! No time to discuss foolish matter like that
 
Nawaza hivyo tu

Maana Bunge ni wawakilishi wa wananchi

Maslahi ya nchi yawekwe mbele...na wajadili vipengele vyote

Au Halmashauri kuu ya Ccm ikae na kuamua
Bunge lipi?ilo kibogoyo?
 
OTE="Pascal Mayalla, post: 29636384, member: 17813"]Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P[/QUOT
Kabisaaaaaa ni kama mbingu wala wakijaribu hawatufikii wasijisumbuee
 
wapuuzi Hao wanaosambaza kana kwamba kuna wanalopata kutoka ktk hilo bunge LA huko polojo ndio Kazi yenu. Hii nchi yenu acheni umbea mbona yao hatuyasikii Kazi yenu kushadadia tu
Swali LA kujiulizaaa ni kwanini WANASHADADIA hicho ndo najiulizaaa
 
Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mkuu Pascal mi nikiona uzi wako au comment naishia kucheka tu natamani siku awajibu kwa kiburi kama ulichoandika wale weupe ili ajue kwanini wanaitwa wazungu [emoji12] [emoji23] [emoji23]
 
Si nasikia eti ni ushoga tu....jamani miccm ni miongo hadi shetwan anaiogopa
SIku zote hawakusema mpaka siku Makonda alivyoibuka na mambo ya mashoga. Kwanini watu wasione mhimili uko hapo?
 
Nyie wazungu mnawafurahia bila kufahamau. Mnawachekelea bila kufikiria na mnawashangilia bila kufahamu mchezo wauchezao. Kwa kifupi ni hivii, wazungu hawapendi tupige hatua hata kama ni sentimita moja. Kununua ndege kwa cash kwao ni matusi. Kujenga reli ya SGR kwao ni kero. Kujenga lile bwawa la Stiglas kwao ni kasheshe kubwa sana. Mchanga wao mpaka sasa tunao na tumesiliba mianya yao ya kupata vitu na mali zetu chelelee hawatatupenda wala kukubali. Kwa anaedhani wazungu wanatupenda saaana na wanatuomnea tutoke siku moja anajidanganya sana na sana. Waliweza kumgombanisha Mzee Muamal Gadafi na watu wake ambao waliishi bure wakipewa kila kitu na selikari na sasa wanajuta kupita kiasi na naona hatujajifunza tuu. Jifunzeni kwa Sadam, Gadafi na hata Mubarak na muangalie kama kuna kitu cha maana wamepata baada ya waliouita msaada wa wazungu ili kupata demokrasia. Hawa wanataka dhahabu, almasi, na vito vingine bila kizuizi na wala sio demokrasia. Waogopeni kama ukoma na kama mnaweza unganeni muwe kitu kimoja hawatatuweza. Someni hata histiria kidogo mtawaelewa. Hakuna mzungu anapenda mswahili but wanataka mali zetu tuu na hakuna jipya.
No
 
Wakijenga shule- marafiki

Wakijenga mahosptal- wafadhili.

Wakisaidia Arvs- wanatupenda.

Wakitoa kodi zao kugharamia chaguzi zetu- wahisani.

Mkigawana nao raslimali zetu- wawekezaji.

Wakiwapa rushwa muwape tenda- wenye nia njema.

WAKITAKA WATU WOOTE TUFAIDI WANACHOTOA- "mabeberu"
Ilibidi uanzishe uzi wako uongeze na nyama kidogooo. Maneno machache maana kubwa
 
Subiri wakubatize jina lao maarufu
USIKUBALI KUPOTOSHWA HAYA NDIYO MAAZIMIO YA BUNGE LA ULAYA EU

Waziri wa mabo ya nje asema awezi kuzungumzia azimio hilo anasubiri Raisi atoe tamko

>>>Utawala wa sheria
>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja

BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE

>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake

LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO

>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu
 
Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P

Paskali, we endelea tu kumchochea jamaa yetu ili atoe tamko kama anaogea na wahanga wa mafuriko ya Bukoba ndio atajua kwamba utegemezi wa misaada una gharama zake. Endelea kumchochea, na sisi tunasubiri hilo tamko...
 
Marekani wamesema watahakikisha kuakuwa na uchaguzi wa huru na haki ifikapo 2019/2020.

Sasa akili.mkichwa akishupaza shingo atalipuliwa
Na iwe hivyo najua sana athari za vita lakini kwa yanayoendelea nipo tayari kushika hicho kitu chenye jina kama langu.
 
Back
Top Bottom