Mimi kama mwananchi wa kawaida niombe Wizara ya mambo ya nje iyamalize ,matatizo yetu na nchi za ulaya ,tunajua wazi hao wenzetu huringia nini ,na sisi tunataka nini basi,waswahili walisema Adui mupishe siyo lazima mupigane ,sisi tuonyeshe kukubaliana na tusiyotaka kukubaliana
Tushindane au tusishindane Nchi yetu itabaki Tanzania.
Niwaombe wanaoshangilia hili ni sawa na Ngamia kuweka kichwa kwenye Mchanga kuwa hawezi zulika,ukweli tutakao umia na aina yoyote ya vikwazo ni watu wa kada ya chini hasa vijijini ambako gharama za mafuta ya taa itapanda ,usafiri utapanda ,waalimu mishara kutopata kwa muda ,na n.k Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.tukubari wao ni wababe kwani sie hatuna uwezo wa kuwaonya.
AMANI NI TUNU YETU