Kwa wababe hawa ukishaingia kwenye 18 zao huchomoki!! Huwezi kuwa masikini ukajifanya jeuri!!! Labda ujifyatue tu ila madhara yake yatakuwa makubwa sana kwa wananchi!! Mfano US, aseme tu kubana kwenye ARV, babaa, mungu aepushee, panadol tu hazipstikani ije kuwa ARV!!! na dawa za TBKwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
Mungu wabariki Wazungu .USIKUBALI KUPOTOSHWA HAYA NDIYO MAAZIMIO YA BUNGE LA ULAYA EU
Waziri wa mabo ya nje asema awezi kuzungumzia azimio hilo anasubiri Raisi atoe tamko
>>>Utawala wa sheria
>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja
BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE
>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake
LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO
>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu
Kwamba sisi tunaounga mkono maazimio ya #EU na #Senate_ya_US ,siyo wazalendo????Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
Chochea Chochea Paskali,Muingize KING Dr JIWE,akiingia kwenye 18 za Wazungu usimkimbie tu.Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
Ila sio "WAZUNGU WAWILI WALIOVALIA MASK" na Kumteka MO.Mungu wabariki Wazungu .
Wakijenga shule- marafikiUtasikia wanasema mabeberu wanataka kutuibia, hivi Mmarekani anatuibia nini?
Kuna majambazi kama China, Ila hatajwi...
Wamemaliza na kufilisi mifuko ya jamii...sasa sijui watafyeka mini
Wala hata MO hakuwahi kutekwa na Wazungu mkuu .Ila sio "WAZUNGU WAWILI WALIOVALIA MASK" na Kumteka MO.
Hahahaaaa nimekumbuka hekaya za mambosasa na bashite ulivyotaja wazungu ndio wakanijia "WAZUNGU WALIOVALIA MASK" 😀😀😀😀😀😀😀😀.Wala hata MO hakuwahi kutekwa na Wazungu mkuu .
Marekani wamesema watahakikisha kuakuwa na uchaguzi wa huru na haki ifikapo 2019/2020.USIKUBALI KUPOTOSHWA HAYA NDIYO MAAZIMIO YA BUNGE LA ULAYA EU
Waziri wa mabo ya nje asema awezi kuzungumzia azimio hilo anasubiri Raisi atoe tamko
>>>Utawala wa sheria
>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja
BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE
>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake
LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO
>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu
BaaVichaaaMungu wabariki Wazungu .
Mtamponza Magufuli.Gari zote na vifaa vyote vya ulinzi anavyotumia vinatoka hukohuko.Atabana we mwisho ataachia.Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
tumewaruhusu sisi waingilie mambo yetu kwa kukubali kufuata mfumo wao wa utawala hebu bwana pasco jiulize tulikubali kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa lakini bado hatuwapatii hao wapinzani jukwaa huru la kuendeshea shughuri zao hebu tazama wanavyopishana mahakaniKwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
Noted.USIKUBALI KUPOTOSHWA HAYA NDIYO MAAZIMIO YA BUNGE LA ULAYA EU
Waziri wa mabo ya nje asema awezi kuzungumzia azimio hilo anasubiri Raisi atoe tamko
>>>Utawala wa sheria
>>>Haki za binadamu
>>>Kamata kamata ya wapinzani
>>>Elimu
>>>Afya
>>>Haki ya kupata habari
>>>Sheria kandamizi na matamko
>>>Mikutano ya kisiasa kupigwa marufuku
>>>Kuandamwa kwa watetezi wa haki za binadamu
>>>Kufungiwa vyombo vya habari
>>>Kuandama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja
BUNGE HILO LIMETAKA PIA HAYA YATEKELEZWE
>>>Kuachiliwa wafungwa wote wa kisiasa
>>>Kurekebisha baadhi ya sheria ikiwemo ya makosa ya mtandao , sheria ya vyombo vya habari
>>>Kuachia uwanja kwa watetezi wa haki za binadamu kufanya shughuli zake
LIMETAKA PIA HAYA YAWEPO
>>>Tume huru ya kuchunguza kutekwa na kuakamatwa kwa waandishi wa habari na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha
>>>Hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale wataobainika kuvunja haki za binadamu
snowden hana uhusiano na wikleaks yuko Russia anakula bataWatuambie na Snowden yule wa wikilikisi yuko wapi
Tutamlinda kwa mishale na manati , hatubabaishwi.Mtamponza Magufuli.Gari zote na vifaa vyote vya ulinzi anavyotumia vinatoka hukohuko.Atabana we mwisho ataachia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanakuelewa wachache sana .Kwanini watuingilie kwenye mambo yetu ya ndani?, hawa watu hawamjui Magufuli?.
Tanzania ni sovereign state, hatupangii watu na hatupangiwi.
Subirini tamko
P