Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

I'm telling you. Tafuta historia ya mechi rasmi za Spain na Ujerumani utahakikisha ninachokwambia.

Mpira hauchezwi kwa historia mkuu. Dimba na dakika 90 ndiyo mwamuzi.

Ingekuwa hivyo basi jana Ureno wangepewa nafasi kubwa ya kushinda,kwani mara ya mwisho kukutana na Hispania,Hispania walipigwa goli 4.

Pia ingekuwa historia ndiyo mwamuzi,Uholanzi wasingetolewa katika raundi ya kwanza,tena kwa kupigwa game zote 3!

Ndiyo nikasema tutaona.
 
Mpira hauchezwi kwa historia mkuu. Dimba na dakika 90 ndiyo mwamuzi.

Ingekuwa hivyo basi jana Ureno wangepewa nafasi kubwa ya kushinda,kwani mara ya mwisho kukutana na Hispania,Hispania walipigwa goli 4.

Pia ingekuwa historia ndiyo mwamuzi,Uholanzi wasingetolewa katika raundi ya kwanza,tena kwa kupigwa game zote 3!

Ndiyo nikasema tutaona.
acheni kujivunia mechi za kirafiki,mechi inachezwa huku wachezaji j1 kuna el classico,spain ya sasa inatisha kaka,na leo italy anamchapa ujerumani
 
balantanda heshima yako nguli mwenzangu...
Nawaulizia Mamamia na Gutierez umewaona wapi?
kaka nilikuwa uwanjani,siwezi kuwakosa wekundu wa spain,ni kama manolo el del bombo vile,in spain we trust always,you are welcome!
 
Chifu weka unazi pembeni. Hivi Hispania katika michuano hii wamecheza nini? Bingwa wa dunia anayecheza kwa kujihami? Analundika viungo bila kuwa na mshambuliaji? Wamefika fainali kwa bahati.

Na akina ya nani wakikutana na Ujerumani....
Haya ni maneno yangu niliyasema nyuma "Ujerumani kikomo kimefika alhamisi,italy tayari final,spain mhh hawa ureno wapinzani we2 wa jadi yaani iberia derby,mechi ngumu,ili nategemea final itakuwa spain vs italy na lolote linaweza kutokea hasa kwenye matuta,wajerumani wamenuna sana jana kibonde wao england kutolewa".na Manolo el del Bombo kwa wale wote watu wa ulabu popote duniani haijalishi rangi,jinsia wala umri,Manolo ktk pub yake mestalla jijini Valencia katoa ofa ya pombe bure ikiwa ni furahi ya kuingia final,kuhusu ujerumani yaani weupe sana kwetu,mimi nawahofia italy na ninaipa nafasi kubwa italy kutimba final,wajerumani usiwe washamba nao siku zote ni wanaanza na kasi halafu inaishia,pekua rekodi 2006 world cup kwao,2008 euro,2010 world cup na sasa leo itakuwa kikomo chao najua kwa 95%,Gang Chomba karibu haya na wewe rindima hapa mitaa ya mabuluda Milan,Turin kuanzia FIAT company hadi kwa ex prime minister Berlusconi!
kaka Ujerumani ni uozo kwa Spain!,hata world cup 2010 tulianza kwa kufungwa bwana Nzi au umesahau spain hiyohiyo inatisha kwa bao 1 mpaka mwisho,na kitu nachojivunia mpaka sas ni Antonio di Natalia ndie alieweza kutingisha nyavu za Iker Casillas Fernandez
 
Spain straight wapo fainali. No way Portugal wakaresist uwezo mkubwa wa Spain. Na hii formation aliyokuja nayo Del Bosque ya 4-6-0 ni balaa. Hii formation itawasumbua sana pia Wajerumani katika mechi ya fainali hapo tarehe 1 July.

One part done, the rest to be accomplished tonight. It will be Germany vs Spain.
 
Haya ni maneno yangu niliyasema nyuma "Ujerumani kikomo kimefika alhamisi,italy tayari final,spain mhh hawa ureno wapinzani we2 wa jadi yaani iberia derby,mechi ngumu,ili nategemea final itakuwa spain vs italy na lolote linaweza kutokea hasa kwenye matuta,wajerumani wamenuna sana jana kibonde wao england kutolewa".na Manolo el del Bombo kwa wale wote watu wa ulabu popote duniani haijalishi rangi,jinsia wala umri,Manolo ktk pub yake mestalla jijini Valencia katoa ofa ya pombe bure ikiwa ni furahi ya kuingia final,kuhusu ujerumani yaani weupe sana kwetu,mimi nawahofia italy na ninaipa nafasi kubwa italy kutimba final,wajerumani usiwe washamba nao siku zote ni wanaanza na kasi halafu inaishia,pekua rekodi 2006 world cup kwao,2008 euro,2010 world cup na sasa leo itakuwa kikomo chao najua kwa 95%,Gang Chomba karibu haya na wewe rindima hapa mitaa ya mabuluda Milan,Turin kuanzia FIAT company hadi kwa ex prime minister Berlusconi!
kaka Ujerumani ni uozo kwa Spain!,hata world cup 2010 tulianza kwa kufungwa bwana Nzi au umesahau spain hiyohiyo inatisha kwa bao 1 mpaka mwisho,na kitu nachojivunia mpaka sas ni Antonio di Natalia ndie alieweza kutingisha nyavu za Iker Casillas Fernandez

Hapo red, ushawahi ona wapi bingwa anaishia nusu fainali ndugu yangu !!!! Starring hauwawi kamwe labda movie iwe ya kihindi !!! :dance:
 
Una Details za soka?
Au kwa kuwa Bundle umenunua wewe, keyboard unayo wewe basi unajiandikia tu?
Sina details nyingi Mkuu wangu, isipokuwa za hii miaka minne, hasa miwili 2008-2010, i.e katika mashindano ya EURO 2008 na World CUP 2010, ambapo Italy na German walicheza na Spain, ONLY THAT.

Mpira hauchezwi kwa historia mkuu. "Dimba na dakika 90 ndiyo mwamuzi".

Ingekuwa hivyo basi jana Ureno wangepewa nafasi kubwa ya kushinda,kwani mara ya mwisho kukutana na Hispania,Hispania walipigwa goli 4.

Pia ingekuwa historia ndiyo mwamuzi,Uholanzi wasingetolewa katika raundi ya kwanza,tena kwa kupigwa game zote 3!

Ndiyo nikasema tutaona.
Ninakubaliana sana na wewe Mkuu, kuwa mpira hauchezwi kwa historia, vyenginevyo tangu mashindano haya kuanza 1960 basi Russia (wakati huo USSR) wangeendelea kushikilia kombe hadi leo, lakini katika mashindano ya 1964 walinyang'anywa kombe na hawa unaowaita waremberemba mpira - ha ha ha!.

Lakini pia kwa kuwa historia huweza ama kuandikwa upya au kujirudia, sitoshangaa ama kwa Spain kuandika historia ya EURO > WORLD CUP > EURO na kwa hivyo kurudia historia kwa kushinda tena EURO au kupoteza kombe ambavyo haijawahi kutokea kutetea ubingwa na kushinda. Kumbuka mpaka sasa hakuna timu ambayo imechukua kombe hili mara mbili mfululizo, ingawaje Ujerumani imeshalibeba mara 3 - 1972, 1980 na 1996.

Lakini zote hizo ni historia, ukweli umo katika maneno yako kuwa "Dimba na dakika 90 ndiyo mwamuzi". Ni suala la kusubiri tu, usiku tutaona na Jumapili haiko mbali.
 
Naomba shahidi awe Balantanda...
Wewe penga Kamasi mi naweka Dola 100 nina uhakika Buluda lazima amkamue mjerumani kama tulivyofanya miaka 16 ilopita...

Jokes

GG andaa kabisa hiyo Dola 100, ntakusumbua kweli ujue..leo ni leo, uzuri ni kuwa mshindi lazima apatikane!! Germany oyee
 
magazeti makubwa ya michezo ya nchini Italia Gazzetto delo Spot na il Corriero delo spot yameripo...........
 
magazeti makubwa ya michezo ya nchini Italia Gazzetto delo Spot na il Corriero delo spot yameripo...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom