Leo kachemka vibaya sana.....siku ya kufa mbwa pua zote zinaziba...
Xavi kibao kimemuita
Gemu ngumu Mkuu! Niwe mkweli, Portugal wamejipanga na wanashambulia zaidi kuliko Spain, hata hivyo bado nina imani na Spain.Pole......Game umeionaje lakini?
Salama mkuu....balantanda heshima yako nguli mwenzangu...
Nawaulizia Mamamia na Gutierez umewaona wapi?
balantanda heshima yako nguli mwenzangu...
Nawaulizia Mamamia na Gutierez umewaona wapi?
Na walichokifanya ni kuvuruga kiungo cha Spain......Leo Xavi kachemka kweli....Gemu ngumu Mkuu! Niwe mkweli, Portugal wamejipanga na wanashambulia zaidi kuliko Spain, hata hivyo bado nina imani na Spain.
Salama mkuu....
Wanadai wataibuka Spain wakifunga goli/wakishinda...........
Wazee wa Sauti za UmemeHa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!....
Yaani nimecheka kama Le Mutuz...