Huku ndo sikupenda hii game ifike... ITA watajilaumu sana kwa nafasi walizopoteza... Most of the time the defending team ndo huwa wanashinda kwenye Penalty....
Huyu Pirlo katika hii team ni kama LeBron James wa HEAT... Anaichezesha team kuanzia kudefend mpaka kwenye kashambulizi.... Jamaa anajua saana... Sijui AW hamuoni????
Wakienda penati tu Italia hawana chao.....
Huyo anaitwa Midfield Mastro Pass Master Andrea Pirlo...
Katika dakika 120 zilizochezwa ktk mechi ya leo dhidi ya England basi Pirlo alikaa na mpira kwa dakika 100.
Hizo 20 ndizo walizogombea wachezaji wengine
Huyo anaitwa Midfield Mastro Pass Master Andrea Pirlo...
Katika dakika 120 zilizochezwa ktk mechi ya leo dhidi ya England basi Pirlo alikaa na mpira kwa dakika 100.
Hizo 20 ndizo walizogombea wachezaji wengine
![]()
Clear: Balotelli fires a volley at goal after finding space inside the penalty box
Kuna kila dalili ya England kufuzu kwa nusu fainali.
Ha ha ha haaah!! Nimekubali....Labda wangecheza na Mji Mpwapwa...
Pole sana.Subiri ndani ya Dakika 30.ndio utajua nini namaanisha.
SWALI...
Je baada ya Dakika 120 kuisha gianluigi Buffon alikwenda wapi na akachelewa kurudi uwanjani mpaka akafuatwa na Afisa mmoja wa uwanja??
alienda kukata gogo arifu......SWALI...
Je baada ya Dakika 120 kuisha gianluigi Buffon alikwenda wapi na akachelewa kurudi uwanjani mpaka akafuatwa na Afisa mmoja wa uwanja??
this is PANENKA style baby......english played the most boring soccer the whole tournament, just defended like cowards, no creativity....Pirlo's Penalty
[video=youtube_share;IVfTOU66fTA]http://youtu.be/IVfTOU66fTA[/video]