Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Fabregas kwa Spain
Gooooooooooooooooal
Spain wanaenda Final
Gooooooooooooooooal
Spain wanaenda Final
Ndi mchezo!Siwapendi Hispania.
Gracias BJ, ilikuwa mechi ya kufa mtu. Gracias a Diós que hemos ganado. HEMOS GANADO!it's SPAIN!............................wow!!
Ndi mchezo!
it's SPAIN!............................wow!!
Kwa hakika Portugal wameupiga mpira leo......
Kwa hakika I hate penalties......
Kama kurembaremba ni kosa, kwa nini wanashinda? Wanaremba mpira lakini ndio style yao. Najua iko siku watashtukiwa kama walivyoshtukiwa Barca, lakini kwa sasa wao ndio wafalme.Hawautendei haki mchezowa soka. Wanarembaremba sana mpira.
Wewe ngoja golden goal lirudishwe.
Gracias BJ, ilikuwa mechi ya kufa mtu. Gracias a Diós que hemos ganado. HEMOS GANADO!
Nimewaonea huruma Wareno waliweza kuwasimamisha mabingwa wa dunia kwa dakika 120 lakini kwenye penalties haikuwa bahati yao...CR amebaki na majonzi...wamejitahidi sana
Hapana, ni kwelo dakika 90 Portugal walicheza vizuri sana - KUDOS - lakini dakika 30 za nyongeza Spain walikuwa juu.Nimewaonea huruma Wareno waliweza kuwasimamisha mabingwa wa dunia kwa dakika 120 lakini kwenye penalties haikuwa bahati yao...CR amebaki na majonzi...wamejitahidi sana
Nadhani Sergio Ramos kwa mbaaaaali amejitahidi kumuiga Midfield Maestro......utaona kama itapigwa penati kama aliyoipiga Dikteta wa kiungo mtu mzima Pirlo
Anaogopa kufanya kile alichofanya siku ya mechi ya RMA na Bayern Munchen...kwanini Ronaldo hakupiga penalty?
kudoz Spain..!! ilikuwa kazi ngumu
Nimewaonea huruma Wareno waliweza kuwasimamisha mabingwa wa dunia kwa dakika 120 lakini kwenye penalties haikuwa bahati yao...CR amebaki na majonzi...wamejitahidi sana