Eti aliyeingiza jezi feki kutoka China analindwa na mtu kutoka juu?

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti.

Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika.

Kama ni kweli basi ni mhujumu uchumi.

Tukutane 9/11/2023
 
Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023
Ule mzigo ni wa HSC na inajulikana uhusiano uliopo kati yao na Msoga family,na tunajua remote iliko.
 
Hakuna kitu kibaya kama kuanza tabia mbaya ukubwani. Siku zote hata mlevi akianza pombe ukubwani anakuwa mlevi hasa.

Sasa Bibi kaanza udalali na upigaji uzeeni akiwa na 60+ unatarajia nini zaidi ya kubariki kila upigaji. Sasa hivi anashangilia mafao anayoyapata na kuhisi alichelewa sana kuanza.

Huyo wa jezi kakamatwa ndio tumejua ila kuna mengi yanaendelea na kwa baraka za wanaopaswa kuzuia yasitokee.
 
Back
Top Bottom