Wanunuzi wa bidhaa pale GAME Mlimani Sity jihadharini na bidhaa hizo.Kuna tetesi kuwa bidhaa nyingi hapo dukani ni mbovu na zina matatizo.Mimi mwenyewe nienunua karibu bidhaa tatu ambazo ziliharibika kipindi kifupi tu baada ya matumizi.These items are used and repacked!!!
Hata cinema pale ni feki ... juzi nimeangalia moja tu sasa hivi jicho langu moja limevimba, linauma kinoma.
Kuna mshakaji wiki iliyopita ametoa pesa ATM, baadaye anajikuta na feki tupu...
tatizo kubwa liko kwenye vyakula, kuna watu maalumu kazi yao ni kufuta expire dates na kuzirekebisha ili bidhaa ionekane bado hipo kwenye muda wake, tuwe waangalifu sana especially mwisho wa mwezi kwenye hizo wanazoita promotion ambazo lengo lake ni kuflush out expired au low quality product(reject)
sio nia yangu kuwatetea Game, lakini nachotaka kueleza ni kuwa utaratibu wa kupunguza bei vitu vinapokaribia ku-expire sio upo hapo game tu, maduka makubwa yote karibu hufanya hivyo. ...
....Itatuchukua muda sana wadanganyika mpaka tuje tuwe sawa na dunia ya wenzetu.
jamani lisemwalo ..... kama halipo basi laja......
Mkuu kwenye site yako ya kupima kama umependana kweli na mpenzi wako kwanini umeweka option tatu? inamaana umehalarisha watu kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja. Ngoja nikufungulie thread sehemu wewe.
Lol
Sijahararisha ufisadi kwenye mapenzi mkuu.
Kumzimika mtu na kufanyia kazi huo mzimiko wako ni vitu viwili tofauti.
Ukikataa kwamba hata unapokuwa na mpenzi wako wa dhati kunakuwaga na wengine wanaokuvutia, basi utakuwa unahararisha unafki.
Tatizo ni pare unapovutiwa halafu unaammua ku-take action wakati tayali unawako.