5 Days to Go! Kabla PM Majaliwa Hajazindua TeIW ya TIC Ambayo Italikomboa Taifa Letu on All Investments Issues! Ni 25 September - Mlimani City!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,507
113,629
Wanabodi,
TIC Countdown Ad -Swahili - 5 Days.jpg

Miongoni mwa mambo yanayotuchelewesha Watanzania kupata maendeleo endelevu kwa haraka, ni the way we do things!, namna tunavyofanya mambo yetu, we are very slow katika utendaji, uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yetu ndio maana hata bandarini mambo ni very slow ndio yamepelekea tutafute mwekezaji, Mwarabu wa Dubai, DPW kuja kutusaidia!.

Ili kuondokana na utendaji slow slow, wenye urasimu mwingi usio wa lazima, Kituo cha Uwekezaji Tanzania, TIC kinazindua mfumo wa kisasa wa uendeshaji wa shughuli za mambo ya uwekezaji nchini kupitia dirisha moja, single window ambapo ukikaza fomu ya uwekezaji kupitia TIC, watu TRA wanakuona unapata TIN na VRN, watu wa Brela wanakuona unapata leseni yako, watu NIDA wanakuona, vibali vya kazi, kwa kifupi ni kila kitu!.

Mpaka siku ya leo, zimebaki Siku 5 uzinduzi huu ufanyike, utafanyika tarehe 25 September, 2023 katika ukumbi wa Mlimani City, Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa JMT, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

1. Kwanza nimekuwekea a short summary ya just 1 minute
View: https://youtu.be/sZcPiCCdoF8?si=SM3GcLABlYzcTcos

2. Nimekuwekea clip ya 3 minutes kukuelewesha
View: https://youtu.be/X6Q3rBimPB0?si=BBWU7D1Fy2VCMaCc

3. Nimekuwekea kipindi maalum cha dakika 7 za press conference yote ya TIC kupitia kipindi cha Habari Zaidi ya Habari.
View: https://youtu.be/wfdZdOOtE0Q?si=JOcmmD35_kDztvN9

Karibu

Paskali
 
Shida moja ni kwamba taifa na viongozi wetu wamekuwa ni watu wa kupenda sherehe na uzinduzi wakidhani kuwa hayo ndiyo maendeleo, baada ya miaka michache tu ijayo unakuta hakuna tija yoyote juu ya hiki kinachosherekewa sasa. Kuhusu coordination ya hizi mamlaka ili ziweze kufanya kazi ndani ya platform moja siyo kitu kipya nadhani hata malengo ya kuanzisha hii TIC ililenga kuweka urahisi wa hizi taasisi mtambuka kufanya kazi pamoja.
Ningefurahi kama viongozi wetu wangekuwa wanatafuta majibu ya kweli juu ya mkwamo tuliokuwa nao katika taifa badala ya kutuhadaa na hizi zinduzi zisizo na tija
 
hahahaha hizi ni hadithi tu ndugu yangu, Tanzania kukombolewa kuna watu wanahitajika kufa na Taifa kurudi kwenye mikono ya wananchi.
Maadam kila mtu atakufa, kila ukombozi unahitaji sacrifices, miongoni mwa sacrifices hizo ni pamoja na machozi, jasho na damu!, so be it!.
P
 
Hadithi njoo uongo njoo utamu koleaaa,ni muendelezo wa yale yale tuu, mifumo mizuri kwa watu wale wale wanao endelea kulipeleka taifa shimoni, hakuna maajabu yoyote yatakayo tokea niko paleeee
just be positive, tumia the power of positivism to make good things happen!.
P
 
Shida moja ni kwamba taifa na viongozi wetu wamekuwa ni watu wa kupenda sherehe na uzinduzi wakidhani kuwa hayo ndiyo maendeleo,
Uzinduzi wa jambo lolote jipya lenye manufaa, ni maendeleo!.
baada ya miaka michache tu ijayo unakuta hakuna tija yoyote juu ya hiki kinachosherekewa sasa.
Be positive and optimistic rather than pessimistic!. Mambo makubwa mazuri yanazinduliwa, hata uzinduzi bado unaanza kuzungumza hakuna tija!.
Kuhusu coordination ya hizi mamlaka ili ziweze kufanya kazi ndani ya platform moja siyo kitu kipya nadhani hata malengo ya kuanzisha hii TIC ililenga kuweka urahisi wa hizi taasisi mtambuka kufanya kazi pamoja.
Ningefurahi kama viongozi wetu wangekuwa wanatafuta majibu ya kweli juu ya mkwamo tuliokuwa nao katika taifa
Naunga mkono hoja
badala ya kutuhadaa na hizi zinduzi zisizo na tija
Duh...!.
P
 
Kuna bango linasomeka hivi

'' TANZANIA MAINLAND AND ZANZIBAR INVESTMENT PROMOTION VIDEO''

Kuna mambo yanakera sana. Ikiwa kuna Tanzania mainland , ipo wapi Tanzania Island? Kwanini Zanzibar?
Huwezi kuwa na mainland bila Island, sasa woga wa kutamka Tanganyika unatoka wapi.

Hii ni Tanganyika investment promotion video. Period.
Waacheni Wazanzibar na msiwaalike kwa kutumia jina Tanzania, hili si suala la Muungano, ni woga tu

Zanzibar wana investment centre yao . Acheni woga wa kutaka kumpendeza mama ni unafiki, ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
Ninaposema kwamba Mama Samia Suluhu Hassan ni 'The Mother of Modern Tanzania' watu wanielewe tu. Ana kitu muhimu huyu mama.
Mama atafanya bla_bla zote lakini matatizo bado yapo palepale, kwani JPM alitatua matatizo gani, maji, umeme, dawa, kilimo, haki, ukiritimba, etc?
 
Wanabodi,
View attachment 2756470
Miongoni mwa mambo yanayotuchelewesha Watanzania kupata maendeleo endelevu kwa haraka, ni the way we do things!, namna tunavyofanya mambo yetu, we are very slow katika utendaji, uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yetu ndio maana hata bandarini mambo ni very slow ndio yamepelekea tutafute mwekezaji, Mwarabu wa Dubai, DPW kuja kutusaidia!.

Ili kuondokana na utendaji slow slow, wenye urasimu mwingi usio wa lazima, Kituo cha Uwekezaji Tanzania, TIC kinazindua mfumo wa kisasa wa uendeshaji wa shughuli za mambo ya uwekezaji nchini kupitia dirisha moja, single window ambapo ukikaza fomu ya uwekezaji kupitia TIC, watu TRA wanakuona unapata TIN na VRN, watu wa Brela wanakuona unapata leseni yako, watu NIDA wanakuona, vibali vya kazi, kwa kifupi ni kila kitu!.

Mpaka siku ya leo, zimebaki Siku 5 uzinduzi huu ufanyike, utafanyika tarehe 25 September, 2023 katika ukumbi wa Mlimani City, Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa JMT, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

1. Kwanza nimekuwekea a short summary ya just 1 minute
View: https://youtu.be/sZcPiCCdoF8?si=SM3GcLABlYzcTcos

2. Nimekuwekea clip ya 3 minutes kukuelewesha
View: https://youtu.be/X6Q3rBimPB0?si=BBWU7D1Fy2VCMaCc

3. Nimekuwekea kipindi maalum cha dakika 7 za press conference yote ya TIC kupitia kipindi cha Habari Zaidi ya Habari.
View: https://youtu.be/wfdZdOOtE0Q?si=JOcmmD35_kDztvN9

Karibu

Paskali

Kanzu MPYA Shekhee Yule Yule😁!
Ili Nchi hivutie Investors kuna vitu vinatakiwa viwepo in place. Hichi kinachozinduliwa akina tija wala akisaidii kitu.....1. Nini Kinatakiwa kama Nchi ili iwe na Viwanda vya Kusindika Vyakula na Juices ?? 2. Ni Miundo mbinu ipi inatakiwa iwepo in Place kuwezesha Tanzania kuvutia uwekezaji wa Wenye Viwanda vya Magari ya aina zote ikiwemo yale ya Umeme?? 3. Ili Tanzania iwe Kitovu cha Kuzalisha Dawa na Vifaa Tiba kama Nchi inatakiwa kuwa na miundo mbinu ipi ndo iweze fanikiwa??( tena Mmepewa deal ya kusupply dawa Kwenye nchi za SADC- ata Asprini Mmweshindwa sambaza🤣🤣.Wambie TIC waje PM niwauzie PDF linalotakiwa watembee nalo ili Wawekezaji wajae Tanzania Kama Kumbikumbi.
This is the same kama Electronic Single window ya Bandali🤣🤣🤣Uzembe, Ucheleweshaji wa mizigo , Wizi vipo pale pale kama kawa😂😂
 
Wanabodi,
View attachment 2756470
Miongoni mwa mambo yanayotuchelewesha Watanzania kupata maendeleo endelevu kwa haraka, ni the way we do things!, namna tunavyofanya mambo yetu, we are very slow katika utendaji, uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yetu ndio maana hata bandarini mambo ni very slow ndio yamepelekea tutafute mwekezaji, Mwarabu wa Dubai, DPW kuja kutusaidia!.

Ili kuondokana na utendaji slow slow, wenye urasimu mwingi usio wa lazima, Kituo cha Uwekezaji Tanzania, TIC kinazindua mfumo wa kisasa wa uendeshaji wa shughuli za mambo ya uwekezaji nchini kupitia dirisha moja, single window ambapo ukikaza fomu ya uwekezaji kupitia TIC, watu TRA wanakuona unapata TIN na VRN, watu wa Brela wanakuona unapata leseni yako, watu NIDA wanakuona, vibali vya kazi, kwa kifupi ni kila kitu!.

Mpaka siku ya leo, zimebaki Siku 5 uzinduzi huu ufanyike, utafanyika tarehe 25 September, 2023 katika ukumbi wa Mlimani City, Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa JMT, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

1. Kwanza nimekuwekea a short summary ya just 1 minute
View: https://youtu.be/sZcPiCCdoF8?si=SM3GcLABlYzcTcos

2. Nimekuwekea clip ya 3 minutes kukuelewesha
View: https://youtu.be/X6Q3rBimPB0?si=BBWU7D1Fy2VCMaCc

3. Nimekuwekea kipindi maalum cha dakika 7 za press conference yote ya TIC kupitia kipindi cha Habari Zaidi ya Habari.
View: https://youtu.be/wfdZdOOtE0Q?si=JOcmmD35_kDztvN9

Karibu

Paskali

Hiyi inaweza kuwa toni lako la mwisho kujaribu kalata yako ...maana mapimbio nisawa na kamari siku hizi ...unaweza kukaramba dume mda wote...."paaaaah Paskali kwenye luninga ana apishwa ikulu balozi wa jumba 10."
 
Kuna bango linasomeka hivi

'' TANZANIA MAINLAND AND ZANZIBAR INVESTMENT PROMOTION VIDEO''

Kuna mambo yanakera sana. Ikiwa kuna Tanzania mainland , ipo wapi Tanzania Island?
Mkuu Nguruvi3, kwanza pole sana kwa kukereka, Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Sii wengi wanajua kuwa baada ya muungano, nchi mpya iliitwa United Republic of Tanzania and Zanzibar ndivyo ilivyosajiliwa UN. Baada ya kupata jina jipya la Tanzania neno Tan ni prefix ya Tanganyika, zan ni prefix ya Zanzibar, hivyo jina la Tanzania lina Tanganyika na Zanzibar.

Tanzania Island ndio Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar.

Baada ya nchi yetu kupata jina jipya, Jina la Tanganyika likafutwa rasmi na kubaki Tanzania.
Kwanini Zanzibar?
Muungano wetu ni muungano wa union kwa nchi mbili kuungana kwa union na kuunda nchi moja, hivyo Tanzania ni nchi moja ya JMTvile Tanganyika ni kubwa ili isionekane Zanzibar imemezwa
Huwezi kuwa na mainland bila Island, sasa woga wa kutamka Tanganyika unatoka wapi.

Hii ni Tanganyika investment promotion video. Period.
Waacheni Wazanzibar na msiwaalike kwa kutumia jina Tanzania, hili si suala la Muungano, ni woga tu

Zanzibar wana investment centre yao . Acheni woga wa kutaka kumpendeza mama ni unafiki, ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
Wanabodi,
View attachment 2756470
Miongoni mwa mambo yanayotuchelewesha Watanzania kupata maendeleo endelevu kwa haraka, ni the way we do things!, namna tunavyofanya mambo yetu, we are very slow katika utendaji, uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yetu ndio maana hata bandarini mambo ni very slow ndio yamepelekea tutafute mwekezaji, Mwarabu wa Dubai, DPW kuja kutusaidia!.

Ili kuondokana na utendaji slow slow, wenye urasimu mwingi usio wa lazima, Kituo cha Uwekezaji Tanzania, TIC kinazindua mfumo wa kisasa wa uendeshaji wa shughuli za mambo ya uwekezaji nchini kupitia dirisha moja, single window ambapo ukikaza fomu ya uwekezaji kupitia TIC, watu TRA wanakuona unapata TIN na VRN, watu wa Brela wanakuona unapata leseni yako, watu NIDA wanakuona, vibali vya kazi, kwa kifupi ni kila kitu!.

Mpaka siku ya leo, zimebaki Siku 5 uzinduzi huu ufanyike, utafanyika tarehe 25 September, 2023 katika ukumbi wa Mlimani City, Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa JMT, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

1. Kwanza nimekuwekea a short summary ya just 1 minute
View: https://youtu.be/sZcPiCCdoF8?si=SM3GcLABlYzcTcos

2. Nimekuwekea clip ya 3 minutes kukuelewesha
View: https://youtu.be/X6Q3rBimPB0?si=BBWU7D1Fy2VCMaCc

3. Nimekuwekea kipindi maalum cha dakika 7 za press conference yote ya TIC kupitia kipindi cha Habari Zaidi ya Habari.
View: https://youtu.be/wfdZdOOtE0Q?si=JOcmmD35_kDztvN9

Karibu

Paskali

Tunawwvutia wawekezaji wa nje kwa kuweka mifumo mizuri ya kuwassaili na kulinda mitaji yao.

Je wajasiriamali wa ndani wanaangaliwaje?
 
just be positive, tumia the power of positivism to make good things happen!.
P
Tabia za viongozi wa Tanzania hazijawahi kubadirika na wewe na unazijua vizuri sana, hua wanafurahia kufanya sherehe za uzinduzi lakini baada hapo pombe ile ile kwenye kikombe kipya
 
Tunawwvutia wawekezaji wa nje kwa kuweka mifumo mizuri ya kuwassaili na kulinda mitaji yao.

Je wajasiriamali wa ndani wanaangaliwaje?
Ili kuwa mwekezaji wa ndani, unapaswa kuonyesha mchanganuo wa biashara wa thamani ya $ 50,000 tuu!.

P
 
Wanabodi,
View attachment 2756470
Miongoni mwa mambo yanayotuchelewesha Watanzania kupata maendeleo endelevu kwa haraka, ni the way we do things!, namna tunavyofanya mambo yetu, we are very slow katika utendaji, uendeshaji na utekelezaji wa majukumu yetu ndio maana hata bandarini mambo ni very slow ndio yamepelekea tutafute mwekezaji, Mwarabu wa Dubai, DPW kuja kutusaidia!.

Ili kuondokana na utendaji slow slow, wenye urasimu mwingi usio wa lazima, Kituo cha Uwekezaji Tanzania, TIC kinazindua mfumo wa kisasa wa uendeshaji wa shughuli za mambo ya uwekezaji nchini kupitia dirisha moja, single window ambapo ukikaza fomu ya uwekezaji kupitia TIC, watu TRA wanakuona unapata TIN na VRN, watu wa Brela wanakuona unapata leseni yako, watu NIDA wanakuona, vibali vya kazi, kwa kifupi ni kila kitu!.

Mpaka siku ya leo, zimebaki Siku 5 uzinduzi huu ufanyike, utafanyika tarehe 25 September, 2023 katika ukumbi wa Mlimani City, Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa JMT, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

1. Kwanza nimekuwekea a short summary ya just 1 minute
View: https://youtu.be/sZcPiCCdoF8?si=SM3GcLABlYzcTcos

2. Nimekuwekea clip ya 3 minutes kukuelewesha
3. Nimekuwekea kipindi maalum cha dakika 7 za press conference yote ya TIC kupitia kipindi cha Habari Zaidi ya Habari.
View: https://youtu.be/wfdZdOOtE0Q?si=JOcmmD35_kDztvN9

Karibu

Paskali

Bhabha mgana mayyala mwiwapanga bhabha? Unamaanisha hata safari za kina Abdul kwa mu7 zitapungua? Wagisye wosye getegete wooo
 
Back
Top Bottom