Endapo Salum Kikeke atateuliwa na Rais, Diaspora tutaanza kuona njia ya Uraia Pacha ikifunguka

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
875
4,101
Alianza Charles Hilary , akafuata Zuhura Yunusu na Sasa Salim Kikeke. Sina hoja Kwa Charles na Zuhura Kwa Sababu walikuwa raia WA Tanzania na awakuwahi kupata uraia huku ughaibuni.

Kwa Salim Kikeke inazaliwa hoja ya uraia, hoja hii inakwenda kuathiri utaratibu mzima WA uteuzi kwenye secta ya umma ambayo nivigumu mgeni kupewa ajira au nafasi ya kuteuliwa. Upo uwezekano Kikeke kaacha KAZI BBC kama maandalizi yakurejea kwenye asili yake....that's good kwamba mtoto anarudi home Kwa wazazi wake. Lakini vipi kuhusu sheria za nchi?

Zanzibar wamerejesha watu wengi wenye passport mbili na wamepewa uteuzi maeneo nyeti.....hakuna anayehoji kuhusu sheria za uraia Kwa Sababu anayeteua ndiye mwenye nchi. Lakini hii Tabia ikiendelea kuna umuhimu wa kukataa uraia Pacha? Au uraia Pacha utakuwa Kwa vigogo na wenye connection kwamba wanaweza kupewa ajira Bila kujali uraia wao wala sheria za nchi?

Ningependa Kikeke aingie kwenye list ya wateule ili tufungue milango ya Sisi tishio na connection kupata uraia Pacha. Diaspora tutumie fursa hizi kujenga hoja watawala waliopo ambao Wana nasaba na wageni watuvushe tuweze kuwa na Haki ya uraia wetu WA kuzaliwa huku tukipata pia fursa ya kutumikia uraia WA mataifa ya ulimwengu wa kwanza.

Complicated but complete
 
Alianza Charles Hilary , akafuata Zuhura Yunusu na Sasa Salim Kikeke. Sina hoja Kwa Charles na Zuhura Kwa Sababu walikuwa raia WA Tanzania na awakuwahi kupata uraia huku ughaibuni.

Kwa Salim Kikeke inazaliwa hoja ya uraia, hoja hii inakwenda kuathiri utaratibu mzima WA uteuzi kwenye secta ya umma ambayo nivigumu mgeni kupewa ajira au nafasi ya kuteuliwa. Upo uwezekano Kikeke kaacha KAZI BBC kama maandalizi yakurejea kwenye asili yake....that's good kwamba mtoto anarudi home Kwa wazazi wake. Lakini vipi kuhusu sheria za nchi?

Zanzibar wamerejesha watu wengi wenye passport mbili na wamepewa uteuzi maeneo nyeti.....hakuna anayehoji kuhusu sheria za uraia Kwa Sababu anayeteua ndiye mwenye nchi. Lakini hii Tabia ikiendelea kuna umuhimu wa kukataa uraia Pacha? Au uraia Pacha utakuwa Kwa vigogo na wenye connection kwamba wanaweza kupewa ajira Bila kujali uraia wao wala sheria za nchi?

Ningependa Kikeke aingie kwenye list ya wateule ili tufungue milango ya Sisi tishio na connection kupata uraia Pacha. Diaspora tutumie fursa hizi kujenga hoja watawala waliopo ambao Wana nasaba na wageni watuvushe tuweze kuwa na Haki ya uraia wetu WA kuzaliwa huku tukipata pia fursa ya kutumikia uraia WA mataifa ya ulimwengu wa kwanza.

Complicated but complete
Ramli chonganishi!
 
Alianza Charles Hilary , akafuata Zuhura Yunusu na Sasa Salim Kikeke. Sina hoja Kwa Charles na Zuhura Kwa Sababu walikuwa raia WA Tanzania na awakuwahi kupata uraia huku ughaibuni.

Kwa Salim Kikeke inazaliwa hoja ya uraia, hoja hii inakwenda kuathiri utaratibu mzima WA uteuzi kwenye secta ya umma ambayo nivigumu mgeni kupewa ajira au nafasi ya kuteuliwa. Upo uwezekano Kikeke kaacha KAZI BBC kama maandalizi yakurejea kwenye asili yake....that's good kwamba mtoto anarudi home Kwa wazazi wake. Lakini vipi kuhusu sheria za nchi?

Zanzibar wamerejesha watu wengi wenye passport mbili na wamepewa uteuzi maeneo nyeti.....hakuna anayehoji kuhusu sheria za uraia Kwa Sababu anayeteua ndiye mwenye nchi. Lakini hii Tabia ikiendelea kuna umuhimu wa kukataa uraia Pacha? Au uraia Pacha utakuwa Kwa vigogo na wenye connection kwamba wanaweza kupewa ajira Bila kujali uraia wao wala sheria za nchi?

Ningependa Kikeke aingie kwenye list ya wateule ili tufungue milango ya Sisi tishio na connection kupata uraia Pacha. Diaspora tutumie fursa hizi kujenga hoja watawala waliopo ambao Wana nasaba na wageni watuvushe tuweze kuwa na Haki ya uraia wetu WA kuzaliwa huku tukipata pia fursa ya kutumikia uraia WA mataifa ya ulimwengu wa kwanza.

Complicated but complete
Cc daud balali
 
Back
Top Bottom