Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,333
- 8,252
Baada ya wiki jana kusambaa kwa taarifa ya kupoteza nafasi yake aliyokuwa anaishikilia kwa muda mrefu, Nafasi ya kuwa tajiri namba moja Duniani.
Mapema wiki hii amerejea kwenye nafasi yake, akimshinda bilionea wa Ufaransa na Mkurugenzi mtendaji wa LVMH Bernard Arnault.
Elon Musk anarejea kwenye nafasi hiyo baada ya hisa katika kampuni yake ya Tesla kupanda mapema jumatatu hii.
Msimamo ulivyo kwa sasa
1. Elon Musk - Utajiri $210.6 B
2. Bernard Arnault & family - Utajiri $207.2 B
3. Jeff Bezos - Utajiri $181.2 B
4. Larry Ellison - Utajiri $142.1 B
5. Mark Zuckerberg - Utajiri $141.2 B
PIA SOMA
- Elon Musk atolewa namba moja kwenye orodha ya Matajiri Duniani | JamiiForums
Wiki iliyopita mambo yalikua hivi:
Mapema wiki hii amerejea kwenye nafasi yake, akimshinda bilionea wa Ufaransa na Mkurugenzi mtendaji wa LVMH Bernard Arnault.
Elon Musk anarejea kwenye nafasi hiyo baada ya hisa katika kampuni yake ya Tesla kupanda mapema jumatatu hii.
Msimamo ulivyo kwa sasa
1. Elon Musk - Utajiri $210.6 B
2. Bernard Arnault & family - Utajiri $207.2 B
3. Jeff Bezos - Utajiri $181.2 B
4. Larry Ellison - Utajiri $142.1 B
5. Mark Zuckerberg - Utajiri $141.2 B
PIA SOMA
- Elon Musk atolewa namba moja kwenye orodha ya Matajiri Duniani | JamiiForums
Wiki iliyopita mambo yalikua hivi: