Elon musk ameamua kuwatukuna wadhamini sasa

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
ElonMusk.jpg


Siku ya jumatano bilionea namba Moja ulimwenguni Elon Musk aliwashangaza watu wengi ulimwenguni kutokana na kauli yake ya utata dhidi wa wadhamini mbalimbali kupitia mtandao wa X kwa kusema Go f***k yourself .

Kupitia mkutano wa New York times aliweza kutoa msimamo wake kuhusu kampuni mbalimbali kama vile Apple, Disney, IBM, Comcast, Coca-cola, Discovery nk, kutishia kusitisha kuweka matangazo kwenye mtandao wa X(Twitter).

Sababu kubwa ni Elon Musk kushindwa kufungia Yale maudhui mbalimbali yenye kuwapinga Wana Israel juu ya vita iliyokuwa inafanyika nchini Palestine au kuchapisha picha ambazo zinakosoa Vikali mambo yanayofanywa na wa Israeli.

Elon musk amesema mtandao wake wa X (Twitter) ni wa uhuru na haki wa maudhui ya aina yoyote Yale wenye kutoa mitizamo aina tofauti tofauti kupitia haki ya kuzungumza.

Kauli Ya Elon musk alisema
" If somebody’s gonna try to blackmail me with advertising, blackmail me with money?" Musk said. "Go f**k yourself.

Lakini aliweza kuomba radhi kupitia tweets kwenye mtandao wake wa X kwa kusema ulikua ni ujinga wamsamehe ameua na kupuliza tajiri.

Angalia video yake kwenye Whatsapp Yetu channel tajiri jeuri

#Elonmusk #bongotech255
 
Elon yuko sahihi.

Haiwezekani tupangiane tujadili kitu gani kwenye mitandao.

Israel na wapambe wake wasitupangie cha kujadili.

Israel na wapambe wake wanataka kuziba watu mdomo wasiongee mabaya ya Israel inayowafanyia wapalestina.
 
Hayo makampuni yana ihitaji tweeter kama tweeter inavyo yahitaji.
Tweeter sio chanzo kikuu cha utajiri wa Elon ni matokeo ya utajiri wa kampini zake zingine, hivyo hatishiki.
Hata tweeter ikifa sio kwamba Elon atafilisika. Utajiri wa Elon kwa sasa ni kama maji, umewahi kiona maji yanakauks ?
Wazungu wa west hawampendi mzungu koko mkaburu.
Wazungu wa west/ European wanatakaga tajiri aibuke huko ulaya sio kutokea third world country.
Rlon Musk strategy zake zipi tofauti. Ni ngumu kumshusha kwa fitina kama walivyofanya kwa mr.
kanio west.
Wakati Musk anaibuka ibuka walikuwa wanambeza sana mda mwingine walimuita kichaa mwenye maono yasio halisi. miaka 5 mbele wanatafuta jinsi ya kumshusha.
Wazungu sio watu wa kuwa amini hata kidogo.
They have inner hate! And direct it even to their fellows white.
 
Hayo makampuni yana ihitaji tweeter kama tweeter inavyo yahitaji.
Tweeter sio chanzo kikuu cha utajiri wa Elon ni matokeo ya utajiri wa kampini zake zingine, hivyo hatishiki.
Hata tweeter ikifa sio kwamba Elon atafilisika. Utajiri wa Elon kwa sasa ni kama maji, umewahi kiona maji yanakauks ?
Wazungu wa west hawampendi mzungu koko mkaburu.
Wazungu wa west/ European wanatakaga tajiri aibuke huko ulaya sio kutokea third world country.
Rlon Musk strategy zake zipi tofauti. Ni ngumu kumshusha kwa fitina kama walivyofanya kwa mr.
kanio west.
Wakati Musk anaibuka ibuka walikuwa wanambeza sana mda mwingine walimuita kichaa mwenye maono yasio halisi. miaka 5 mbele wanatafuta jinsi ya kumshusha.
Wazungu sio watu wa kuwa amini hata kidogo.
They have inner hate! And direct it even to their fellows white.
Acha kujidanganya. Twitter imenunuliwa kwa mkopo, ikifa Elon atabaki na shimo la zaidi ya dola bilioni 40. Halafu watu huwa hawajui kwamba utajiri wa hawa watu huwa unakuwa "on paper", maana yake ni kwamba utajiri wa Elon Musk ni thamani ya hisa zake kwenye makampuni, sio kwamba hiyo hela anayo cash. Na ndio maana hata kufilisika ni rahisi. Kampuni ikishuka thamani na yeye utajiri unashuka, ikifa na yeye anafilisika.
 
Acha kujidanganya. Twitter imenunuliwa kwa mkopo, ikifa Elon atabaki na shimo la zaidi ya dola bilioni 40. Halafu watu huwa hawajui kwamba utajiri wa hawa watu huwa unakuwa "on paper", maana yake ni kwamba utajiri wa Elon Musk ni thamani ya hisa zake kwenye makampuni, sio kwamba hiyo hela anayo cash. Na ndio maana hata kufilisika ni rahisi. Kampuni ikishuka thamani na yeye utajiri unashuka, ikifa na yeye anafilisika.
Kwa hio tweeter ikifa Elon anafilisika ? Una utani wewe. Amekuwa MOE.
Space x itakufa kwa kuwa tweeter imekufa zina uhusiano gani ?.
Hakuna mjasilia mali wa kumfananisha na Elon katika dunia ya sasa.
Wazungu wanamwita ALIEN Yaani kiumbe kutoka sayari ya mbali.
Kila mwaka linakuja na idea mpya, lina maelfu ya idea.
Hili ndio jitu litatufanya binadamu tuwe CYBORG via brain chip.
Tweeter ni tone ktk bahari ya Elon.
 
Hayo makampuni yana ihitaji tweeter kama tweeter inavyo yahitaji.
Tweeter sio chanzo kikuu cha utajiri wa Elon ni matokeo ya utajiri wa kampini zake zingine, hivyo hatishiki.
Hata tweeter ikifa sio kwamba Elon atafilisika. Utajiri wa Elon kwa sasa ni kama maji, umewahi kiona maji yanakauks ?
Wazungu wa west hawampendi mzungu koko mkaburu.
Wazungu wa west/ European wanatakaga tajiri aibuke huko ulaya sio kutokea third world country.
Rlon Musk strategy zake zipi tofauti. Ni ngumu kumshusha kwa fitina kama walivyofanya kwa mr.
kanio west.
Wakati Musk anaibuka ibuka walikuwa wanambeza sana mda mwingine walimuita kichaa mwenye maono yasio halisi. miaka 5 mbele wanatafuta jinsi ya kumshusha.
Wazungu sio watu wa kuwa amini hata kidogo.
They have inner hate! And direct it even to their fellows white.
hv kumbe elon ni mzungu koko mkaburu?
 
hv kumbe elon ni mzungu koko mkaburu?
Makuburu wote au 90% ni wazungu koko.
Kuna makaburu kule SA wamejitenga na weusi .
"ONLY WHITE ARE ALLOWED HERE" ndio maneno walioandika getini kwso.
Sasa wanasayansi wa DNA wamegundua kuwa wana vinasaba vya watu weusi. Hii ina thibitisha kuwa makaburu ni wazungu koko.
Kwa hio unashangaa makaburu kuwa mixed race ? Kwa nini isiwe wakati wameishi na na Waafrika miaka zaidi ya 400 .
Kwa taarifa yako waswahili wana damu ya warabu.
Warabu wa kaskazini mwa Africa wana vinasaba vya watu weusi.
Mlivyotawaliwa na wazungu basi mmedumazwa kufikiri kabisa na kufuailia mambo.
My dear, watu weusi ni binadamu kama binadamu wengine, cha kusta jaabisha ni kipi kwamba wazungu wasiwe na DNA za weusi wakati tunashuhudia watu weusi wakioana na wrupe !
 
Makuburu wote au 90% ni wazungu koko.
Kuna makaburu kule SA wamejitenga na weusi .
"ONLY WHITE ARE ALLOWED HERE" ndio maneno walioandika getini kwso.
Sasa wanasayansi wa DNA wamegundua kuwa wana vinasaba vya watu weusi. Hii ina thibitisha kuwa makaburu ni wazungu koko.
Kwa hio unashangaa makaburu kuwa mixed race ? Kwa nini isiwe wakati wameishi na na Waafrika miaka zaidi ya 400 .
Kwa taarifa yako waswahili wana damu ya warabu.
Warabu wa kaskazini mwa Africa wana vinasaba vya watu weusi.
Mlivyotawaliwa na wazungu basi mmedumazwa kufikiri kabisa na kufuailia mambo.
My dear, watu weusi ni binadamu kama binadamu wengine, cha kusta jaabisha ni kipi kwamba wazungu wasiwe na DNA za weusi wakati tunashuhudia watu weusi wakioana na wrupe !
yaan nimeuliza kumbe elon ni mzungu koko mkaburu umekuja na maelezo irrelevant kabisa mkuu
 
Elon asili yake ni Africa Kusini.
kuzaliwa sa hakumfanyi kuwa na asili ya sa, sema kazaliwa sa, ila ukifuatilia kiundan ana asili ya marekani na canada, mama yake mcanada, babu yake mzaa baba mmarekani, hvo hana asili ya sa.
 
kuzaliwa sa hakumfanyi kuwa na asili ya sa, sema kazaliwa sa, ila ukifuatilia kiundan ana asili ya marekani na canada, mama yake mcanada, babu yake mzaa baba mmarekani, hvo hana asili ya sa.
Ana asilli ya SA na Canada. Mzazi mmoja ni mkaburu babake na mamake ni mkanada.
Uraia wa marekani amenunua.
Ukirudi miaja 400 nyuma ni muholanzi ukifuata jwa baba.
Kwa mujibu wa wikipedia.
 
Ana asilli ya SA na Canada. Mzazi mmoja ni mkaburu babake na mamake ni mkanada.
Uraia wa marekani amenunua.
Ukirudi miaja 400 nyuma ni muholanzi ukifuata jwa baba.
Kwa mujibu wa wikipedia.
nilisiliza mahojiano yake mkuu, yeye mwenyewe anasema ana asili ya canada na marekani, kuwa babu yake mzaa baba alikuwa mmarekani (alikuwa explorer ndo akajikuta sa na kuweka makazi hapo) nikipata hayo mahojiano nitakupa link. sasa hapa tuiamini wikipedia au elon mwenyewe, sijajua.
 
nilisiliza mahojiano yake mkuu, yeye mwenyewe anasema ana asili ya canada na marekani, kuwa babu yake mzaa baba alikuwa mmarekani (alikuwa explorer ndo akajikuta sa na kuweka makazi hapo) nikipata hayo mahojiano nitakupa link. sasa hapa tuiamini wikipedia au elon mwenyewe, sijajua.
Una maanisha mexican n au red indians ? maana hao ndio wenye asili ya marekan.
Mi navyofahamu jamaa ni mkaburu wa SA aliehamia canada na baadae USA kutimiza ndoto zake..
Aliwahi sema kuwa lengo la kuhamia USA ni kwenda kutimiza ndoto zake kwa sababu USA ina kila kitu kwa wanasayansi.
Mtu akiwa maarufu vinatafutwa vinasaba vyake hata miaka 2000 iliopita.
Elon asingekuwa maarufu angekuwa mkaburu tu, huo ndio utambulisjo wa wazungu wa SA, jina jingine hujiita Afrikaners.
 
Back
Top Bottom