Elon Musk anagawa pesa Twitter (X) lakini sioni Watanzania wakinufaika na migao ya Elon

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,464
17,304
Kule X ama Twitter Bwana mkubwa Tajiri namba moja Duniani, mmiliki wa makampuni ya Tesla, X, X.al, Boring Company, Space X na makampuni mengine mbali mbali alianzisha utaratibu wa kuwalipa watengeneza maudhui kule kwenye mtandao wake.

Nimekua nikiona wadau mbalimbali wa nchi mbali mbali wakinufaika na mikwanja ya Elon Musk lakini sioni watengeneza maudhui wa Tanzania wakifaidika na huo utaratibu.

Je, shida ni Tanzania hatuna contents creators wa kunufaika na huo utaratibu ana nini shida?
 
Unafikiri Kutengeneza contents za kuweza kukubalika na kichwa chenye akili kubwa kama elon....

Ni rahisi kama ilivyo kupitisha mkataba wa Bandari bungeni!?
No, yeye hajasema hadi yeye akubali contents zako, bali kaweka utaratibu rahisi kabisa, kwa miezi 3 uwe na impression ama kuvutia watu milioni 15 kuangalia jumbe zako kwa ujumla.

Kwa maana kwamba unaweza hata kila siku kupost chochote hata mara 200 ili mradi ikifika siku 90 jumla ya watu walioangalia post zako zote hata kama ni laki 2 wawe milioni 15.

Kwa hiyo kila mwezi wanakulipa impression zako za miezi 3 nyuma na ni pes anyingi.

Kwa mfano, kuna jamaa anajiita black, yeye post zake ni kuwataka wafuasi wake waweke picha za vichekesho, video za vichekesho hivyo tu kwa mwezi anapiga dola elfu 5 za Elon.

Yaani kwa mtandao wa X, ukiwa kazi yako ni kupost contents za ajabu ajabu ili mradi unavutia watu kwa mwezi anakulipa pesa ya maana tu. Kwa sasa chini ya X hakuna mtu kua jobless kabisa.
 
Kule X ama Twitter Bwana mkubwa Tajiri namba moja Duniani, mmiliki wa makampuni ya Tesla, X, X.al, Boring Company, Space X na makampuni mengine mbali mbali alianzisha utaratibu wa kuwalipa watengeneza maudhui kule kwenye mtandao wake.

Nimekua nikiona wadau mbalimbali wa nchi mbali mbali wakinufaika na mikwanja ya Elon Musk lakini sioni watengeneza maudhui wa Tanzania wakifaidika na huo utaratibu.

Je, shida ni Tanzania hatuna contents creators wa kunufaika na huo utaratibu ana nini shida?
Mfano wa watanzania ni wewe,

Kichwa Cha habari anagawa pesa halafu kwenye maelezo unasema anawalipa


Sasa unafikiri nani atavutiwa kusoma ????

Kama watu hawatovutiwa kusoma utalipwaje Sasa??

😂😂😂 Jokes😂😂😂
 
Mfano wa watanzania ni wewe,

Kichwa Cha habari anagawa pesa halafu kwenye maelezo unasema anawalipa


Sasa unafikiri nani atavutiwa kusoma ????

Kama watu hawatovutiwa kusoma utalipwaje Sasa??

😂😂😂 Jokes😂😂😂
Aahaaaa
 
No, yeye hajasema hadi yeye akubali contents zako, bali kaweka utaratibu rahisi kabisa, kwa miezi 3 uwe na impression ama kuvutia watu milioni 15 kuangalia jumbe zako kwa ujumla.

Kwa maana kwamba unaweza hata kila siku kupost chochote hata mara 200 ili mradi ikifika siku 90 jumla ya watu walioangalia post zako zote hata kama ni laki 2 wawe milioni 15.

Kwa hiyo kila mwezi wanakulipa impression zako za miezi 3 nyuma na ni pes anyingi.

Kwa mfano, kuna jamaa anajiita black, yeye post zake ni kuwataka wafuasi wake waweke picha za vichekesho, video za vichekesho hivyo tu kwa mwezi anapiga dola elfu 5 za Elon.

Yaani kwa mtandao wa X, ukiwa kazi yako ni kupost contents za ajabu ajabu ili mradi unavutia watu kwa mwezi anakulipa pesa ya maana tu. Kwa sasa chini ya X hakuna mtu kua jobless kabisa.
Umeandika kirahisi na nadharia sana inabidi ujue Alogarithim ya Twitter kwanza hauwezi User wa kawaida tu ambae huna Daily engagement ufanya hivyo ufanikoe hili kupata hizo pesa inabidi uwe ulikuwa na Engagement kubwa before utaratibu huo ujaanza mfano kwa TZ uwe Kama yule Madenge, Milaad Ayo nawwngine creatora wadogo Kama Chapo nk
 
Viewers 15M ni sawa na mkoa wa dareslamX2 watu waache shughuli zao waangalie content yako sio kazi ndogo

Pesa sio rahisi kuna creator namfuatilia kalipwa $ 9,238 ila kasema hajaelewa utaratibu vzr maana yeye miezi tisa alikuwa na Impressions 600M

Statistically ni kama 65,000 Impression kwa 1$ malipo

Ni kazi kubwa ila kama ukiwa na contents bomba, It's worth it.
 
Kule X ama Twitter Bwana mkubwa Tajiri namba moja Duniani, mmiliki wa makampuni ya Tesla, X, X.al, Boring Company, Space X na makampuni mengine mbali mbali alianzisha utaratibu wa kuwalipa watengeneza maudhui kule kwenye mtandao wake.

Nimekua nikiona wadau mbalimbali wa nchi mbali mbali wakinufaika na mikwanja ya Elon Musk lakini sioni watengeneza maudhui wa Tanzania wakifaidika na huo utaratibu.

Je, shida ni Tanzania hatuna contents creators wa kunufaika na huo utaratibu ana nini shida?
Labda hairuhusiwi mtu kujipiga picha tako na kutupia. Ikiruhusiwa hiyo vijana watachangamkia.
 
Viewers 15M ni sawa na mkoa wa dareslamX2 watu waache shughuli zao waangalie content yako sio kazi ndogo
Mkuu , usidahau kwamba ukilipia ile blue 🔵 check ✔️ ya Elon shilingi elfu 23, yeye anakusaidia kukutangaza na kutangaza kazi zako.

Kazi kubwa anaifanya Elon wewe dondosha tu maudhui.

Elon kaamua kugawana na watu utajiri.
 
Mkuu , usidahau kwamba ukilipia ile blue check ya Elon shilingi elfu 23, yeye anakusaidia kukutangaza na kutangaza kazi zako.

Kazi kubwa anaifanya Elon wewe dondosha tu maudhui.

Elon kaamua kugawana na watu utajiri.

Anachofanya anagawana na creators ile Marketing Revenue

Na hiyo ni Smart Move, ina maana kama creators wanalipwa watazid kutengeneza maudhui na watumiaji watazid kuwa wengi

Youtube na X wanafanya kwahiyo sio mda wengine wata adapt,

ni time vijana tuchangamke
 
Umeandika kirahisi na nadharia sana inabidi ujue Alogarithim ya Twitter kwanza hauwezi User wa kawaida tu ambae huna Daily engagement ufanya hivyo ufanikoe hili kupata hizo pesa inabidi uwe ulikuwa na Engagement kubwa before utaratibu huo ujaanza mfano kwa TZ uwe Kama yule Madenge, Milaad Ayo nawwngine creatora wadogo Kama Chapo nk
Inawezekana unachokisema lakini mbona naona watu wa kawaida, followers wasiofika 300k na bado wanapiga pesa za Elon?

Nadhani contents ndio muhimu zaidi kuliko engagement.

Na je si Elon anasema ukijisajili na Premium feature yake ya Blue anakusaidia kuongeza engagement ama mimi ndio sielewi?

Yote kwa yote, Ile ni fursa. Vijana waichangamkie.
 
Viewers 15M ni sawa na mkoa wa dareslamX2 watu waache shughuli zao waangalie content yako sio kazi ndogo
Mkuu Bwana mkubwa Elon ameona hoja yako kwamba viewers milioni 15 ni wengi sana, amepunguza sasa hadi milioni 5.

Pia amesema minimum payment ilikua dola 50, kwamba kama ulikua ukipata dola 30, 20 ama 10 ulikua hulipwi kwa sababu hujafikisha kiwango kinachotakiwa, sasa amesema hata ukipata dola 10 anakulipa.

Binafsi naona X inafanya maisha yawe marahisi. Vijana changamkieni fursa.
 
Back
Top Bottom