Grenade
Member
- Sep 10, 2012
- 79
- 72
Naona sera kwenye PM zimekushinda unakuja hangaika huku........sasa ndugu yangu mkiva kwakuwa wewe umeamua kunitongozea hadharani naomba tuanza huu mtanange kutokea mwanzo, yaani tuanza upya, hapa hapa hadharani. Nataka wanajamvi wote washuhudie uwezo wako kwahiyo jaribu kuni convince uwanja ni wako baba.............lol
Khaah!! kazi ipo leo
Last edited by a moderator: