mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 620
nakutafta kila mtaa sikupat cm hazipokelewi pm hazijibiwi lakini bado nakupenda bado moyo wangu hautaki kukukosa nakupenda sana uoneehuruma moyo wangu unavyoteseka
ID za JF bana zinadanganya, shukuru labda ni dume lenzako limeamua kukupotezea vinginevyo ungelia na kujuta kumfahamu huyo Elizaberth tehe tehe.
Elizabeth Dominic please my dia muonee huruma kaka yangu mkiva.. Mtoto wa mwanamke mwinzio.. Anateseka kwa kweli hana raha bila wewe
Kweli wadada wa jf cc mnapendwa! Kila siku thread mpya ya mmoja kupendwa!
Unaaaaloooo limekugandaaaa