Mlioko kwenye ndoa jamani natamani niiweke maongezi yangu na Ex wangu mmoja hv kaolewa na Engineer wa ............... Na ana hela sanaa lakn mke wake anavyoniambia kila kitu kuhusu yeye utafkr mimi ndo ndugu yake na mambo mengne ya Ndani kabsaaa na anasema bwana ake ana mb..... Ndogo hamfkshi n.k mambo mengiii mnoooo ,,yani hapo ndo umeoa huyo mwanamke na Expose mambo mengne nje ambayo wewe hutafkr kama atayasema nje lakn anayasema aloooo hawa viumbe si mchezooo.
Ndo maana siku zote nawaambia,WANAWAKE TUISHI NAO KWA AKILI.
Sent using
Jamii Forums mobile app