Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Usijali hujakosea umeandika mtazamo wako na hakuna ulipokejeli, kudhihaki wala kutukana
Jr![]()
Thanks
Usijali hujakosea umeandika mtazamo wako na hakuna ulipokejeli, kudhihaki wala kutukana
Jr![]()
Wake za watu wanagongwa kilaini sana siku hiz, wala sio lazima wakutane na ma ex wao, ukiwa na gari, tena nyumba ya kupanga, unagonga tu,UKIONA MKEO /MUMEO ANAMAWASILIANO NA EX WAKE UJUE MTU ATALIWA TU SONGA NA HII STORY HAPA (nimetoa sehemu na kuileta kwenu Kama funzo )
NERRIE :-salama mambo
SALOME:- poa tu nani
NERRIE :- aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.
SALOME:-hayo hayakuhusu sema we nani.
NERRIE :--mi Nerry
SALOME:--jamn mzima wewe za siku
NERRIE :--nzur tu nimekumiss.
SALOME:--we si uliniacha bwana...
NERRIE :--hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.
SALOME:--ndio hivyo ningefanyaje sasa
NERRIE :--bado unaishi kwenye moyo wangu.
SALOME:--mmh asante
NERRIE :--Niko MOROGORO kwenu.
SALOME:--mmh kweli umefikia wapi.
NERRIE :--lodge tu nimekuja kwenye seminar mara moja ..lodge flan huku Misufini
SALOME:--haya bhna karibu kwetu.
NERRIE :--mmh namuogopa mumeo
SALOME:--hofu yako tu
NERRIE :-njoo hata unisalimie jamani.nimekumiss sana.
SALOME:--mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.
NERRIE :--Niamini bado nakupenda naomba uje.
SALOME:--mmh kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...
NERRIE :--poa saa ngap...
SALOME:- -Anaenda kazini asubh ko mi ntatoka saa nne.
NERRIE :--poa ntakuambia chumba nilichopo.
SALOME:--wee siingii lodge mimi..mi mke wa mtu usijisahaulishe
NERRIE :--please sitakufanya chochote ..siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.
SALOME:--wee ndio munasemaga hivyo hivyo
NERRIE :--please siwez niamini
SALOME:--sawa lakini sitakaa sana....story tu sitaki mambo mengine.
NERRIE :--poa usijar mamy...
SALOME:--sawa .
Hivi ndivyo ma NERRIE wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.....ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX wake labda kwa mwanamke matuared!!!......fuatiliaa hii
BAADA YA KUONANA HIYO KESHO
SALOME:--ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex..sijapenda kiukweli
NERRIE:-Nisamehe mpz wangu.. nilishindwa si unajua tuliko toka mbali ..asante nime enjoy sana
SALOME:--sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje
NERRIE-:- awez jua atajuaje sasa!!
SALOME:--jua hivyo tu....usitume text amekuja...
NERRIE😛oa usiku mwema.
BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA
SALOME:--nambie
NERRIE😛oa kaondoka
SALOME:--ndio ila akija ntakuambia.
NERRIE😛oa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.
SALOME:--ntaangalia asipokuwepo.
NERRIE:-mmh ko akiwepo
SALOME:--mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu ntakuja ila sitakaa
NERRIE:-sawa..nakupenda sana
SALOME:--nakupenda pia ila usirudie kuniumiza.
NERRIE:-sitaweza dear!!!
Hivyo ndivyo mwnaamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!!
kumbukumbu zikirusdishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue!!....,
dada heshimu ndoa yako!!huyo ex angekuwa anakupenda sana angekuoa basi, !!
anarudi sababu umeolewa anajua hutamsumbua atakuwa mpigaji tu na hakuna mapenzi hapo...!!!!
na wewe mwanaume anayetembea na mke wa mtu kisa ex wako ..fikiria tu mkeo ww ndio anakufanyia hivyo!!
maumivu utayoyapta ndio atayopitia mume wa ex wako akijua!!when goes around comes arounds unayomfanyia mke wa mwenzio hata mkeo anafanyiwa hivyo hivyo sema hujui tu!!hakuna ubaya unaoenda bure.....
Jr![]()
Unashangaa wakati Kuna wanaume wenye majina ya Rose, n.kMwanaume anitwa Nerrie.?
Si ndio maajabu ya Vicent K. Kujiita Ray..!!
Mpaka napata mda wa kuchati na x wng hivo ujue weww mme wng kuna kitu umelegarega ndan, mie nna aman zote na mme wng huyo x akintafuta namshushua najitutumue ajue sijutii kuachana nae mbwa yule
uko sahihi mkuu inategemea na mwanamke..! ila hapo mwisho ulipo malizia kidizain kama ume paste life nlopitiaa..Siku zote nasemaga akili kwa mwanamke ni kila kitu, ukioa kichwa panzi utato.mbewa tu.
Kuna ex wangu mmoja alikua ananipenda mbaya nikamzingua tukaachana, Nna uhakika 100% bado yuko single lakini siku nikimtext hajawahi hata siku moja kujibu meseji au kupokea simu.
Tunapaswa kujilaumu sana mkuuuko sahihi mkuu inategemea na mwanamke..! ila hapo mwisho ulipo malizia kidizain kama ume paste life nlopitiaa..
"uaminifu haupo na hofu ya Mungu"...!! hapa nmepaelewa1.Ndilo suluhisho la kwanza. Ukimuanza bikra kwa kiasi kikubwa hatojua mambo mengi na nakuhakikishia atakuwa mwoga wa kusaliti.
2. Uaminifu bado ni tatizo kubwa sana miongoni mwa wanandoa.
Yakishawakuta ndiyo hujutia makosa yao.
3. Upendo wa dhati haupo na hofu ya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabadilisha na majina 😂😂😂Hii thread naiona mara ya tatu inabadlishiwa mikoa tu kulikua na Tanga sa hv Moro
Sent using Jamii Forums mobile app
Karantini inawafanya watu kugundua vipaji vyao na mtaendelea kutunga mpk chanjo ipatikanengoja nihamie kwa yule jamaa alieenda kwa mganga nikitoka hapo naenda kwa yule wa mgodini
Radha tofauti tofauti mpk unahisi huu mwisho wa dunia watu wanatoa ya moyoni
![]()





Mkuu hakuna kitu kama hicho ,mwanamke ni mwanamke tu hata iweje,,mimi niliwahi kutoka na EX wangu mmoja hv ana akili na kasoma balaa na ukimwangalia hv huwez kudhani kuwa atakua anasaliti ndoa yake lakn akija kwangu ni mwendo wa kupiga machine tu,Naamini ukioa mwanamke mwenye akili na matured hawezi kuyumbishwa na ex Ila ukioa mwanamke ambaye hajui ndoa ni nn lazma akapashe kiporo.
Sent using Jamii Forums mobile app